Mo Ndani Ya Fox News

Mo Ndani Ya Fox News

Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
Walinzi Police au hawa walinzi wa mashirika binafsi, je hao walinzi hawajaojiwa kulikoni mtu anayetafutwa anatupwa na watekaji wanaondoka bila kuonekana, je kama ni polisi kwa nini hawakuwajulisha wakubwa wao badala yake ndugu zake Mo wakaja kumchukua?
 
Naunga mkono hoja. Ila nashangaa... sijui tulijuaje kama walikuwa na hiyo nia lakini wakaogopa!
May be gari lilikuwa hivyo tokea zamani? Je police walijuaje lilitaka kuchomwa hapo, may be walikuta petrol na gari lilikuwa linanuka moshi? Na je walizima moto na distinguishers?
 
Walinzi Police au hawa walinzi wa mashirika binafsi, je hao walinzi hawajaojiwa kulikoni mtu anayetafutwa anatupwa na watekaji wanaondoka bila kuonekana, je kama ni polisi kwa nini hawakuwajulisha wakubwa wao badala yake ndugu zake Mo wakaja kumchukua?
Kwahiyo haya maswali unataka nikujibu mimi au Polisi? mimi nimesoma habari kama ulivyosoma wewe tu,umesoma previous comment au umerukia mada njiani tuu?
 
Kwahiyo haya maswali unataka nikujibu mimi au Polisi? mimi nimesoma habari kama ulivyosoma wewe tu,umesoma previous comment au umerukia mada njiani tuu?
Kwa hiyo unasoma kama kasuku bila kuhoji au kustretch ubongo wako kidogo?
 
Mo kasema "watekaji walikua na wasiwasi sana" sasa huenda huo wasiwasi wao ndio uliowafanya waogope kucreate big smoke/fire,unapokua na wasiwasi sana hata maamuzi yako yanakua yakiuoga uoga sana,


Think big.
Teh yaani wasiwe na wasiwasi kumteka eneo ambalo mwendo wa dakika mbili umefika makao makuu ya usalama wa taifa ? Dakika moja upo kwa Makamu wa rais ,nusu dakika wapo kwa Waziri mkuu ?

Halafu hawakuwa na wasiwasi kuja kumtupa umbali wa dakika 5 kufika Ikulu ,umbali wa dakika mbili kufika Sealander police post na umbali wa dakika moja kufika wizara ya mambo ya ndani ?...kote huku hawakuwa na wasiwasi waje kuwa na wasiwasi wakati wanataka kuchoma gari kweli ?

Aiseee Hamis eeh nigongee mia nina hamu ya ugoro
 
May be gari lilikuwa hivyo tokea zamani? Je police walijuaje lilitaka kuchomwa hapo, may be walikuta petrol na gari lilikuwa linanuka moshi? Na je walizima moto na distinguishers?
Au labda walisahau kiberiti... you never know with bongo movie
 
Uwezo wako wa kutafakari ni mdogo Sana Kama wa mende.

1. Bunduki walizinunua/waliziandaa ili kufanikisha zoezi la kupata pesa. Kumbuka walifyatua risasi wakati wa zoezi la kuteka so maganda ya risasi yalichukuliwa na polisi. Kupitia hayo maganda ya risasi wataalam wa polisi wangebaini ni bunduki hiyo/hizo ndizo zilizotumika. Kwa wenye uelewa ni lazima wazitelekeze kwa lengo la kupoteza ushahidi. Hivyo kushindwa kufanikiwa kwa zoezi lao ndiyo ilikuwa ukomo wa kuwa na hizo silaha

2. Watekaji siyo waliyompa MO cm ya kuongea na nduguze bali RAIA wema waliyomuokota

3. MO hakuwa na cash money na ili ipatikane cash money ilikuwa ni lazima afanye mawasiliano kupitia hayo mawasiliano watu wa cyber wangebaini location na ingekuwa ni rahisi kuwakamata

4. Mipaka ya nchi ilifungwa so wasingeweza kutoka nje ya nchi ambako wangekuwa na Uhuru wa kufanya communication

Kwa mazingira hayo Kama una akili ya kupambanua mambo ilitakiwa uwasifu hao watekaji ya kuwa wana uelewa mkubwa Sana wa maswala ya kiupelelezi. Kwa kurumia uelewa huo wamefanikiwa mukwepa mbinu zote za kukamatwa wao sambamba na kukamatwa na vielelezo
aiseee...!
 
Teh yaani wasiwe na wasiwasi kumteka eneo ambalo mwendo wa dakika mbili umefika makao makuu ya usalama wa taifa ? Dakika moja upo kwa Makamu wa rais ,nusu dakika wapo kwa Waziri mkuu ?

Halafu hawakuwa na wasiwasi kuja kumtupa umbali wa dakika 5 kufika Ikulu ,umbali wa dakika mbili kufika Sealander police post na umbali wa dakika moja kufika wizara ya mambo ya ndani ?...kote huku hawakuwa na wasiwasi waje kuwa na wasiwasi wakati wanataka kuchoma gari kweli ?

Aiseee Hamis eeh nigongee mia nina hamu ya ugoro
Hayo maneno niliyosema kua walikua na wasiwasi ni maneno ya Mo mwenyewe sio maneno yangu, ila kama wewe unajua zaidi kuliko Mo mwenyewe basi hongera sana.
 
Kwa hiyo unasoma kama kasuku bila kuhoji au kustretch ubongo wako kidogo?
Hivyo viswali vyako vya hovyo ndio umeshajiona GT? naona kwa vile umeshaweka bando basi unatiririka tu ili mradi na wewe usisahauliwe humu kua nawe upo JF.
 
Duh kwahiyo hata hao walinzi hawakuwaona hao watekaji sio, hizo ni abrakadabra tu za wenyewe
Hapo kwenye red hiyo habari umeipata wapi mkuu?! Mo hakupewa simu na hao watekaji bali alipewa simu na walinzi waliokua eneo lile na kwa vile alikua na namba ya baba yake kichwani ndio akampigia.
 
Hayo maneno niliyosema kua walikua na wasiwasi ni maneno ya Mo mwenyewe sio maneno yangu, ila kama wewe unajua zaidi kuliko Mo mwenyewe basi hongera sana.
Tumia kichwa kufikiri sio kubebea nywele ...nikisema wewe ni mwanamke utakuwa mwanamke kwa sababu nimesema ?
 
Tumia kichwa kufikiri sio kubebea nywele ...nikisema wewe ni mwanamke utakuwa mwanamke kwa sababu nimesema ?
Wewe unayetumia kichwa si nimekwambia utuambie hayo unayoyajua wewe kuliko Mo mwenyewe? sasa mbona unashindwa kufunguka?Au unadhani hapa ni Insta ulikozowea kulika mitindo ya nywele na madera?
 
Wewe unayetumia kichwa si nimekwambia utuambie hayo unayoyajua wewe kuliko Mo mwenyewe? sasa mbona unashindwa kufunguka?Au unadhani hapa ni Insta ulikozowea kulika mitindo ya nywele na madera?
Nimeuliza maswali gani kwenye post ya kwanza wewe mama ?
 
Nimeuliza maswali gani kwenye post ya kwanza wewe mama ?
Uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo sana ndio maana unatokwa povu hovyo badala ya kujibu hoja,jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya kuliko kuendelea kujiaibisha hapa.
 
Uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo sana ndio maana unatokwa povu hovyo badala ya kujibu hoja,jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya kuliko kuendelea kujiaibisha hapa.
Nenda huko una hoja gani ulizokuja nazo zikashindwa kujibiwa

Na wewe unajiona bonge la GT kumbe zwazwa tu .
 
Nenda huko una hoja gani ulizokuja nazo zikashindwa kujibiwa

Na wewe unajiona bonge la GT kumbe zwazwa tu .
Dogo huna uwezo wa kujenga hoja wala wa kuchanganua mambo zaidi ya kuleta majibu mepesi na ya kitoto,
Siku nyingine usijiaibishe tena hapa kwa kutuletea maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa,hii ni jf,here we think critically.
 
Back
Top Bottom