Mo Hawezi patikana..

Mo Hawezi patikana..

Inategemea katekwa na nani.. ila kama ni hawa hawa waliompoteza saanane na kumkosa kosa Lissu.. Futeni kabisa Matumaini ya Dewji Kuonekana tena!
 
Kuna wakat ni bora ujiteke mwenyewe kuogopa fedheha ya kuswekwa ndani kama akina manji na Seth na ruge
Umesoma kichwa cha habari gazeti la mtanzania la leo? Kinasema. "Serikali yakataa vyombo vya kimataifa kumsaka Mo Dewji"
 
Kiukweli bora kuyasikia kwa jirani. Lakini ukiwa mke, mme mtoto au mzazi wa mhanga, jamani....ni jehanamu kamili maumivu ya moyo unayoyapata.

Kweli.tumuombee Mo apatikane mapema akiwa hai na tuzidi kuwaombea familia yake kipindi hiki kigumu ambacho hata lepe la usingizi hawalipati kwa mawazo........
Very true chief.

Kuna msemo wa "fedha si kila kitu" nyakati kama hizi ndio unaelewa maana yake vizuri sana.
 
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
Na Roma alijiteka mwenyewe?
 
Ni siku ya 3 sasa tajiri na mmoja kati ya watu walioajiri vijana wengi zaidi TZ haonekani.

Baada ya wiki watakaobaki na maumivu ni familia pekee huku jeshi la polisi litazidi kujinasibu kushikilia watu ambao kiuhalisia hata hawaelewi chochote.

Mipango ya kumteka mtu kama Mo haiwezi fanywa na zaidi ya watu 5 tena wanaofahamiana vyema. Naona kabisa nafasi ya Mo kuonekana akiwa salama ni ndogo sana. Yote kwa yote Ulinzi wa Mungu umuangazie huko aliko Jeshi letu halitaweza kamwe kufanikisha kumpata

NAMIMI NIMEOTA HIVYO HIVYO Mkuu umepita mule mule kwenye ndoto yangu sasa malizia kwanini MO hakuingia kwenye mtego kama wakina Manji,GSM,Ally (Lake oil) mtego pekee uliomchafua ni mafuta ya kula na sukari ya viwandani wakati aligoma kuingia kichwa kichwa kwenye biashara mara baada ya jiwe kuingia madarakani akawa ana focus zaidi kwenye fursa za Mozambique,Simba project,Kilimo upatikanaji wa Mo ni -100%.
 
Ni siku ya 3 sasa tajiri na mmoja kati ya watu walioajiri vijana wengi zaidi TZ haonekani.

Baada ya wiki watakaobaki na maumivu ni familia pekee huku jeshi la polisi litazidi kujinasibu kushikilia watu ambao kiuhalisia hata hawaelewi chochote.

Mipango ya kumteka mtu kama Mo haiwezi fanywa na zaidi ya watu 5 tena wanaofahamiana vyema. Naona kabisa nafasi ya Mo kuonekana akiwa salama ni ndogo sana. Yote kwa yote Ulinzi wa Mungu umuangazie huko aliko Jeshi letu halitaweza kamwe kufanikisha kumpata

kuna siku ni shawahi sema jeshi letu upelelezi ziro.mifano mizuri tunao watu wa maskini.wakikukamata mpaka ujulikane sio wewe jela ushakwenda,kipigo na ulemavu
 
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
I was thinking the same
 
Kinachoumiza wanaopotea kwa kutekwa wakirudi wanakaa kimya hawana maelezo yoyote. najua atapatikana japo hatakuwa na maelezo
Hiyo ni dalili tosha kwamba watekaji wapo katk system.
 
Screenshot_20181014-163004.jpg
 
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
Fidia ya nini!?
 
Huwezi amini mo analiliwa taifa zima Hata vijijini habari ni Mo tu! Watu wanaumia Sana
 
Back
Top Bottom