Wewe unafanya nini humu ?!Fanya kazi wewee
me mwenzenu akili yangu inanipa kuwa MO itakuwa katekwa na CIA,, serikali ya Tanzania wala haiusiki kabisa,, hata wachunguzi wa nje wasitoke america nahis,,, hisia zinanipa ivyo kutokana record ya marekani ilivyo,, hatuwezi jua lakini kutakuwa na namna tu,, serikali haina bifu na MO ,si la kisiasa wala kiuchumi,, japo mazuzu wachache wa lumumba kama huyu Barbarosa Na kahaba ISIS wanafurahia kutekwa kwa MO kwa kudhani labda kuna mkono wa mkuru wao,kumbe sivyo kabisa, hapa tuombe wachunguzi haraka kutoka russia au uingereza,,,isiwe israel wala america
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.
Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
Inshallah MO atapatikana.
Mungu ni muweza, Mungu ni mkubwa, Mungu ni mwema sana. Naamini kwa uwezo wake hakuna linaloshindikana.
Wazee wa simba wasome albadir wahusika wote wa mkasa huu wachizi na mo apatikane.matukio haya yatakomeshwa na Mungu tu
Wako bize kupiga wapinzani, na kuwabambikia kesi, kwa mo aisee naona kama ni ndoto za abunuwas, esopo!! Alfu lela lelaPolisi hawa wa bongo kwa sasa wanasubiria tu muujiza utokee...
Kwa faida gani ajiteke labda unaweza kutufafanulia maana kama ni kiki za kisiasa alishaachana na siasa ,ni mtu ambaye hana sababu ya kutafuta attention kwa njia hiyoMkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.
Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
ni jokes lakin unaweza ikawa kwel. Inapaswa polis wafanye uchunguz pia kwa MasoudHa ha ha ha
Uzwazwa Upi kama manala alikamatwa na kuhojiwa kwann Masoud nae wasimchunguzeAcha uzwazwa
Kwa hili tukio la mo ...inaweza kuwa message alert kwa Manji " Akaamua kuikimbia nchi kabisa" Maana huu upepo hautabiriki ardhi ya hii nchi imeshakuwa ya moto hapa kaliki kwa amani hapa"... upepo unaweza kumgeukia siku yoyote ikala kwakwebora ata manji alisota rumande lakini saiv anakula ugali. mo dalili za kupatikana ni ndogo.
NakaziaAkipatikana nitaamini kua ngamia anaweza kupenya kwenye tundu la la sindano!
WaTanganyika walivyo wanafiki sasa hivi wana kikampeni eti bring back our Mo...ngoja baada ya wiki uone kila mtu kashahau na maisha yanaendelea na wataendelea kumsifia Pombe ambaye kwa mtu mwenye akili timqmu anajua fika kabisa kuna mkono wa "system" ktk kutekwa kwa jamaa!
Oneni kwa yule tajiri mkurya wa Tarime Zakaria...zilivumaa weee lakini sasa hivi kimya.
Angekua boya si ungekuta na yeye kapotea kama huyu Muhindi?
Truth be told, Kichaa anahusika na huu uhuni unaoendelea hapa Tanganyika!
Ila ninawahakikishieni kua KAMA KWELI POMBE ndo MDHAMINI wetu sisi Raia wa Tanganyika....basi yule MUHINDI hataonekana tena na huu upepo utapita pia na tutausahau kama tulivousahau ule wa Tundu Lissu.
It's everyone for himself now.
Watanzania bhana
Eti wanaoshikiliwa hawajui lolote!!!..
Yaani nchi hii kila mtu ni mtaalamu wa kila kitu!!...
mmmmm !!Aiseee. Inauma. It's better tuone hata maiti yake
ya ben watch 8 iliishia wapi ?Aiseee. Inauma. It's better tuone hata maiti yake