Mo Hawezi patikana..

Mo Hawezi patikana..

Hao Urusi ndio watekaji na wauaji wakubwa! Kazi tunayo kama hatuwezi kujitetea mpaka tutegemee wa nje. Umasikini na ujinga ni balaa na litatafuna taifa hili mpaka mwisho wake!
me mwenzenu akili yangu inanipa kuwa MO itakuwa katekwa na CIA,, serikali ya Tanzania wala haiusiki kabisa,, hata wachunguzi wa nje wasitoke america nahis,,, hisia zinanipa ivyo kutokana record ya marekani ilivyo,, hatuwezi jua lakini kutakuwa na namna tu,, serikali haina bifu na MO ,si la kisiasa wala kiuchumi,, japo mazuzu wachache wa lumumba kama huyu Barbarosa Na kahaba ISIS wanafurahia kutekwa kwa MO kwa kudhani labda kuna mkono wa mkuru wao,kumbe sivyo kabisa, hapa tuombe wachunguzi haraka kutoka russia au uingereza,,,isiwe israel wala america
 
Na iwe hivyo, angalau tutakuwa na uhakika kuwa hatadhurika!
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
 
Polisi hawa wa bongo kwa sasa wanasubiria tu muujiza utokee...
Wako bize kupiga wapinzani, na kuwabambikia kesi, kwa mo aisee naona kama ni ndoto za abunuwas, esopo!! Alfu lela lela
 
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
Kwa faida gani ajiteke labda unaweza kutufafanulia maana kama ni kiki za kisiasa alishaachana na siasa ,ni mtu ambaye hana sababu ya kutafuta attention kwa njia hiyo
-Umaarufu alionao katika soka kama mdau muhimu Simba Sc hata mchango Taifa stars sidhani kama ataweza kufikiria njia hii kuongeza umaarufu
-Kumbuka yule ni mfanya biashara mkubwa kuna document ngapi ambazo angetakiwa kuzisgn katika siku alizopotea biashara zinayumba kwa namna fulani.hawezi kujiteka kwa utashi wake
*Kama katekwa kwa ajili ya fedha basi inawezekana mazungumzo yanaendelea kimya kimya sio rahisi waje wakwambie ebana ndo tupo tunabargain na watekaji sio rahisi
 
bora ata manji alisota rumande lakini saiv anakula ugali. mo dalili za kupatikana ni ndogo.
Kwa hili tukio la mo ...inaweza kuwa message alert kwa Manji " Akaamua kuikimbia nchi kabisa" Maana huu upepo hautabiriki ardhi ya hii nchi imeshakuwa ya moto hapa kaliki kwa amani hapa"... upepo unaweza kumgeukia siku yoyote ikala kwakwe
 
Akipatikana nitaamini kua ngamia anaweza kupenya kwenye tundu la la sindano!

WaTanganyika walivyo wanafiki sasa hivi wana kikampeni eti bring back our Mo...ngoja baada ya wiki uone kila mtu kashahau na maisha yanaendelea na wataendelea kumsifia Pombe ambaye kwa mtu mwenye akili timqmu anajua fika kabisa kuna mkono wa "system" ktk kutekwa kwa jamaa!


Oneni kwa yule tajiri mkurya wa Tarime Zakaria...zilivumaa weee lakini sasa hivi kimya.
Angekua boya si ungekuta na yeye kapotea kama huyu Muhindi?

Truth be told, Kichaa anahusika na huu uhuni unaoendelea hapa Tanganyika!


Ila ninawahakikishieni kua KAMA KWELI POMBE ndo MDHAMINI wetu sisi Raia wa Tanganyika....basi yule MUHINDI hataonekana tena na huu upepo utapita pia na tutausahau kama tulivousahau ule wa Tundu Lissu.

It's everyone for himself now.
Nakazia
 
tuitumie vzr mitandao ya kijamii tusijekuijkuta tupo mikononi mwa Dora, mwandishi kuwa makini acha vyombo husika viwe vinatoa taarifa unaweza kujikuta upo matatani ukiendelea kuwa msemaji,maoni tu
 
Jana waombaji muiomboee nchi,vitendo kama hivi vinaharibu sifa ya tz kisiwa cha amani,ni imani yangu mfadhili wetu atapatikana soon.Mungu ibariki tz na watu wake
 
Dah, Watekaji MUNGU anawaona mjue!. Natamani kusikia Albadili ikimfikia aliyewatuma watekaji. Ova
 
Siku ikitokea wakuu wa mkoa, au mawazili wametekwa ndio tutaluhusu upelelezi wa nje?. Lisu walizuia upelelezi wa nje. Wakati umefika tubadili sheria inayoipa serekali kutoa ruhusa Kwa mambo yanayohusu haki ya kuishi ya mtu inapohatalishwa. Kibali kiwe ni haki ya msingi ya kibinadamu tu.
 
Back
Top Bottom