Mo Hawezi patikana..

Mo Hawezi patikana..

tuitumie vzr mitandao ya kijamii tusijekuijkuta tupo mikononi mwa Dora, mwandishi kuwa makini acha vyombo husika viwe vinatoa taarifa unaweza kujikuta upo matatani ukiendelea kuwa msemaji,maoni tu

Dora yupi?
Anahusikaje hapa?
 
Huwa nasema watanzania wote hatuna ushirikiamo yaani mwenzetu kapotea lkn bado hatujachukua hatua yoyote
 
tuitumie vzr mitandao ya kijamii tusijekuijkuta tupo mikononi mwa Dora, mwandishi kuwa makini acha vyombo husika viwe vinatoa taarifa unaweza kujikuta upo matatani ukiendelea kuwa msemaji,maoni tu

Hapo sijui unamaanisha Dora yupi? Dorothea au Dora gani huyo
 
Kwa akili za kibinadamu huenda ukawa sawa. Ila kwa uweza wa Mungu anaweza kupatikana, na kupatikana kwake kukasaidia kujua ni nini kinaendelea hapa nchini. Mungu sio mwanadamu, njia zake sio kama njia zetu.

Iko siku nayo yaja, wale wafanyao haya watafarakana na kutofautiana wao kwa wao, wataanza kulana na kupoteza wao kwa wao, na hapo ndipo itakapojulikana wazi ni akina nani hawa, na wanafanya haya kwa masilahi ya nani.
 
hapa wazee wa Jangwani wakiongozwa na Akilimali wanapita huku wakicheka kijino pembe..

Haji Manara,aveva,Hans Pope na sasa Mdosi...misukosuko tu
 
Back
Top Bottom