Mo Hawezi patikana..

Mo Hawezi patikana..

Ina bidi wanaharakati wajifunge Track zipo paka zakuweka kwenye Jino Tanzanian isha change kwa sasa
 
Akipatikana nitaamini kua ngamia anaweza kupenya kwenye tundu la la sindano!

WaTanganyika walivyo wanafiki sasa hivi wana kikampeni eti bring back our Mo...ngoja baada ya wiki uone kila mtu kashahau na maisha yanaendelea na wataendelea kumsifia Pombe ambaye kwa mtu mwenye akili timqmu anajua fika kabisa kuna mkono wa "system" ktk kutekwa kwa jamaa!


Oneni kwa yule tajiri mkurya wa Tarime Zakaria...zilivumaa weee lakini sasa hivi kimya.
Angekua boya si ungekuta na yeye kapotea kama huyu Muhindi?

Truth be told, Kichaa anahusika na huu uhuni unaoendelea hapa Tanganyika!
Haya ndo mambo yanayopelekea kuamini probability ya yeye kupatikana kuwa ndogo. Sasa ni siku ya 3 pia lazima atakuwa amewatambua watekaji kwa nguvu aliyonayo hawawez kumuacha hivihivi maana pia na wao itakuja kuwa shida kubwa kwao...
 
Ivi bdo hawajampata tu, kwan wanamtaftia wap?
 
Wamuachie jamani! Hata kama ni rwanda huko
 
Hivi hakuna wataalam wa ramli wa kiwango Cha rami nchi hii watuambie aliko...au Hawa manabii wanaojitia waonaji si watuambie...mbwembwe nyingi wakiwa kwenye tukanisa twao..utasiki mara nimeonyeshwa hiki mala kile tuonyesheni na mo basi
 
NASOMAGA TU HIZI POST ZA MAMBO YA KUTEKANA NA KUSEMA NAFSINI, (•••)
 
Ransom za karne hii sio za kelele. Anapigiwa ndugu mmoja wa karibu anapewa masharti. Kama ni mzigo unapelekwa sehemu na ndugu ambayekesha pigwa mkwara nini kitatokea kama akiwatonya Polish.So watu wanachukua chao wanasepa. Ransom za kelele ni zile za makundi yenye mrengo wa kisiasa ili kujijenga.
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
 
Kitu ambacho hakinijii akilin au hata kukiwaza n eti wamuue, ndio wanaweza labda ila sio rahisi kabisa
 
Mkuu una uhakika gani kama Mo hajajiteka mwenyewe?? Mimi naona hii ni "movie" tu imechezwa kwa sababu fulani fulani ambazo hatuzijui. Kama kweli ametekwa Serious basi watekaji wangeshadai fidia muda mrefu sana. Ukiona mtu anatekwa pasipo watekaji kudai "fidia" basi fahamu huo utekaji unamashaka makubwa.

Kama lengo lao lilikuwa ni kumuua basi wangeweza kumchapa "risasi" pale pale nje ya Hoteli, na kama lengo lao ni kupata "information" basi mpaka sasa hivi wangekuwa wameshamwachilia, na pia kama lengo lao ni kupata pesa pia mpaka sasa wangekuwa wameshadai walipwe fidia (ransom).... Kwa kifupi mimi naamini Mo amejiteka mwenyewe.
Kama watadai ransom unataka ujulishwe wewe?

Watawasiliana na Wahusika, watamalizana na huenda wala usijue chochote.
 
Kitu ambacho hakinijii akilin au hata kukiwaza n eti wamuue, ndio wanaweza labda ila sio rahisi kabisa
Kuna mambo yanatokea kimasihara ila ndo inakuwa 1/1. Ni ngumu sana kuamini kwamba mtu kama Mo anaweza asionekane tena, kama ilivyo kwa Agwanda n.k
 
Back
Top Bottom