ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,072
- 858,572
Umeona ehh
Naona mijitu makelele tu walahi
Umeona ehh
Naona mijitu makelele tu walahi
Ni siku ya 3 sasa tajiri na mmoja kati ya watu walioajiri vijana wengi zaidi TZ haonekani.
Baada ya wiki watakaobaki na maumivu ni familia pekee huku jeshi la polisi litazidi kujinasibu kushikilia watu ambao kiuhalisia hata hawaelewi chochote.
Mipango ya kumteka mtu kama Mo haiwezi fanywa na zaidi ya watu 5 tena wanaofahamiana vyema. Naona kabisa nafasi ya Mo kuonekana akiwa salama ni ndogo sana. Yote kwa yote Ulinzi wa Mungu umuangazie huko aliko Jeshi letu halitaweza kamwe kufanikisha kumpata
Dah aisee,kuna mijitu humu inasema kajiteka
Polisi hawa wa bongo kwa sasa wanasubiria tu muujiza utokee...
Kesho atakuwepo hapo bila shaka.
I think that will not happen labda angekuwa ametekwa pole×2Kuomba msaada kwa taasisi za kimataifa sio dhambi kama wahalifu wamekuwa too smart kuliko uwezo wetu. Wala kuwaruhusu kutusaidia si kukiri udhaifu maana sio lazima tuweze kila kitu. Ndio maana hata kwa mfano wa hospitali tuna za wilaya, mkoa na rufaa
Lumumba hao,,wanaomba MO hasipatikane,,sijui kawakosea nnUna maanisha nini mkuu
me mwenzenu akili yangu inanipa kuwa MO itakuwa katekwa na CIA,, serikali ya Tanzania wala haiusiki kabisa,, hata wachunguzi wa nje wasitoke america nahis,,, hisia zinanipa ivyo kutokana record ya marekani ilivyo,, hatuwezi jua lakini kutakuwa na namna tu,, serikali haina bifu na MO ,si la kisiasa wala kiuchumi,, japo mazuzu wachache wa lumumba kama huyu Barbarosa Na kahaba ISIS wanafurahia kutekwa kwa MO kwa kudhani labda kuna mkono wa mkuru wao,kumbe sivyo kabisa, hapa tuombe wachunguzi haraka kutoka russia au uingereza,,,isiwe israel wala americaNi siku ya 3 sasa tajiri na mmoja kati ya watu walioajiri vijana wengi zaidi TZ haonekani.
Baada ya wiki watakaobaki na maumivu ni familia pekee huku jeshi la polisi litazidi kujinasibu kushikilia watu ambao kiuhalisia hata hawaelewi chochote.
Mipango ya kumteka mtu kama Mo haiwezi fanywa na zaidi ya watu 5 tena wanaofahamiana vyema. Naona kabisa nafasi ya Mo kuonekana akiwa salama ni ndogo sana. Yote kwa yote Ulinzi wa Mungu umuangazie huko aliko Jeshi letu halitaweza kamwe kufanikisha kumpata
Cheki ili fala ,,yaani linafuraha kwa kutekwa MOUmeona ehh
Naona mijitu makelele tu walahi
Na akipatikana hatasema chochote ka RomaKuna vitu wanaandikishana na makontena hivyo mtamuona soon.
