Jameel2013
JF-Expert Member
- Aug 21, 2014
- 824
- 762
Ndugu yangu unajua Mo hela amepta wapi ?Na huko kwenye biashara nako ni kuiga tu products za watu, kwa kubadirisha majina tu!!kama kwenye vinywaji ndio balaa, anasubilia azamu aanzishe kinywaji kipya sokoni kikikubalika tu utasikia naye huyo!!anaongeza neno MO"....ila kinachomshinda ni radha kuipatia!!labda kitu ambacho hakuiga alitumia akili yake ni yale maguta yake ambayo yanalia kama genereta la meli, kelele tupu!!!
Unajua biashara ya nafaka Mo ndio exporter mkubwa wa korosho, ufuta ,mbaazi nakadhalika unaijua hiyo biashara ilivyo kuwa na hela wacha kabisa nasema wacha kitu kama hujui huyo jamaa... He might be a true richest man in Tz.