Singo Batan

JF-Expert Member
Apr 24, 2020
292
191
Ligi yetu ya NBC sasa inaonesha kuwa na ushindani mkubwa na malengo ya kufika mbali. Hii inachagizwa sana na jeuri na nguvu ya pesa kutoka kwa matajiri wetu wa Bongo.

Battle ya fedha sasa inaonekana kwenye soka, hii sio tu inaleta raha na ushabiki kindaki ndaki katika soka, pia imezidi kufungua fursa ya ajira kwa vijana. Tizama Familia ya Bakhresa na Azam FC yao, kule kutana na Familia ya Dewji na Simba yao, upande mwingine kina Gharib na Yanga yao.

Kuna hawa vijana wa Singida walioanza jina la DTB na sasa "Singida Big Bullets" (wenye nayo si mnawajua?).

Geita kwa wachimba dhahabu nako sio haba, pesa inaleta kiburi na ujeuri. Ni pesa tu kila mahali. Kutunishiana misuli kwa hawa madigala ndio kunafanya tujadili sana kuhusu soka. kunafanya tupate wachambuzi mahili na wale wa "Michongo". Pesa inawabadilishia "chawa" timu za kushabikia, si mnamkumbuka Steve kulia lia? na Yule Mtoto wa Mzee Sunday Manara :D :D :D.

Tufurahie vita ya pesa katika SOKA, na vikumbo kutoka kwa Big 3 giants GSM, BAKHRESA na Bwana MO DEWJI.

tupoteze stress za TOZO kidogo au sivyo😅😅.
 
Hao GSM hawana mapenzi ya dhati na soka. Hao muda wowote wanachomoka endapo Wataona yanga imewalipa. Tofauti na Mo yeye simba ikifungwa Hua anaymwa kabisa.

Vilevile na familia ya bakhresa. Ila Hao wakwepa tozo siku vinye fc wakiamka na kuanza kudai maslai yao wanachomoka mazima mana watakuwa tayari wameshaipiga uto vya kutosha
 
Hao jiiessm hawana mapenzi ya dhati na soka. Hao mda wowote wanachomoka endapo Wataona yanga imewalipa. Tofauti na mo yeye simba ikifungwa Hua anaymwa kabisa. Vilevile na familia ya bakhresa. Ila Hao wakwepa tozo siku vinye fc wakiamka na kuanza kudai maslai yao wanachomoka mazima mana watakuwa tayari wameshaipiga uto vya kutosha
Una uhakika na hiki unachokisema? Au umetumia tu haki yako ya kimsingi ya kutoa maoni humu jukwaani!!
 
Siku timu ya taifa ikitufurahisha utaona wabongo jinsi gani wanapenda mpira. Kila mtu atafungua kibubu kuchangia mpira. Kuna wabongo nyumbani na diaspora watanunua tiketi kuifuata timu itakapocheza na hiyo ndio raha ya football. Waungane pamoja watutengezee Taifa Stars bora na sisi tusafiri tukapige makelele kwenye mashindano. Tumechoka kushabikia Ghana na Nigeria
 
Ligi yetu ya NBC sasa inaonesha kuwa na ushindani mkubwa na malengo ya kufika mbali. Hii inachagizwa sana na jeuri na nguvu ya pesa kutoka kwa matajiri wetu wa Bongo.

Battle ya fedha sasa inaonekana kwenye soka, hii sio tu inaleta raha na ushabiki kindaki ndaki katika soka, pia imezidi kufungua fursa ya ajira kwa vijana. Tizama Familia ya Bakhresa na Azam FC yao, kule kutana na Familia ya Dewji na Simba yao, upande mwingine kina Gharib na Yanga yao.

Kuna hawa vijana wa Singida walioanza jina la DTB na sasa "Singida Big Bullets" (wenye nayo si mnawajua?).

Geita kwa wachimba dhahabu nako sio haba, pesa inaleta kiburi na ujeuri. Ni pesa tu kila mahali. Kutunishiana misuli kwa hawa madigala ndio kunafanya tujadili sana kuhusu soka. kunafanya tupate wachambuzi mahili na wale wa "Michongo". Pesa inawabadilishia "chawa" timu za kushabikia, si mnamkumbuka Steve kulia lia? na Yule Mtoto wa Mzee Sunday Manara :D :D :D.

Tufurahie vita ya pesa katika SOKA, na vikumbo kutoka kwa Big 3 giants GSM, BAKHRESA na Bwana MO DEWJI.

tupoteze stress za TOZO kidogo au sivyo.
Singida Big Bullets ni ya wapi hii?
 
Ligi yetu ya NBC sasa inaonesha kuwa na ushindani mkubwa na malengo ya kufika mbali. Hii inachagizwa sana na jeuri na nguvu ya pesa kutoka kwa matajiri wetu wa Bongo.

Battle ya fedha sasa inaonekana kwenye soka, hii sio tu inaleta raha na ushabiki kindaki ndaki katika soka, pia imezidi kufungua fursa ya ajira kwa vijana. Tizama Familia ya Bakhresa na Azam FC yao, kule kutana na Familia ya Dewji na Simba yao, upande mwingine kina Gharib na Yanga yao.

Kuna hawa vijana wa Singida walioanza jina la DTB na sasa "Singida Big Bullets" (wenye nayo si mnawajua?).

Geita kwa wachimba dhahabu nako sio haba, pesa inaleta kiburi na ujeuri. Ni pesa tu kila mahali. Kutunishiana misuli kwa hawa madigala ndio kunafanya tujadili sana kuhusu soka. kunafanya tupate wachambuzi mahili na wale wa "Michongo". Pesa inawabadilishia "chawa" timu za kushabikia, si mnamkumbuka Steve kulia lia? na Yule Mtoto wa Mzee Sunday Manara :D :D :D.

Tufurahie vita ya pesa katika SOKA, na vikumbo kutoka kwa Big 3 giants GSM, BAKHRESA na Bwana MO DEWJI.

tupoteze stress za TOZO kidogo au sivyo😅😅.
Wote dini moja
 
Hao GSM hawana mapenzi ya dhati na soka. Hao muda wowote wanachomoka endapo Wataona yanga imewalipa. Tofauti na Mo yeye simba ikifungwa Hua anaymwa kabisa.

Vilevile na familia ya bakhresa. Ila Hao wakwepa tozo siku vinye fc wakiamka na kuanza kudai maslai yao wanachomoka mazima mana watakuwa tayari wameshaipiga uto vya kutosha
Hili jukwaa halikosagi mataahira serious

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom