Mo Dewji anzisha king'amuzi chako, Azam wanatawala sana

Mars 12

JF-Expert Member
Feb 25, 2021
221
349
Bilionea Mohamed Dewji, wewe ni mdau mkubwa wa soka na unaufahamu vizuri sana. Najaribu kukushawishi uanzishe king'amuzi au decorder itakayoitwa mo sattelite tv. Pamoja na vipindi vingine uanzishe channel za soka za kuonyesha live mechi za ligu kuu ya bara. Ukiritimba wa azam na TFF ni hatari kwa mustakbali wa soka nchini.

Ukiangalia mambo 2 makubwa la kwanza hakuna tv inayoingia mkataba na chama cha soka cha nchi husika kwa miaka 10 eti kwa bilioni 250 yaani kila mwaka bilioni 25. Mechi 4 tu za yanga na simba zinawarudishia gharama zote. La pili TFF na Karia hawaangalii maslahi kwani hii tenda waliyoipata azam ilikuwa inatakiwa iwe ya miaka 3 mitatu tu.

Kuipa miaka10 bila tenda ni ukiukwaji mkubwa. Tuna dstv, star times na nyinginezo zingeshindanishwa na kupewa asilimia kila tv. TFF ingeingiza matrillioni. Kwa kuwa upo simba anzisha decorder yako na wafunze hawa TFF international broadcasting kama England.

Usikubali kuiingiza simba katika mtego huu. Simba ni timu kubwa wakitaka azam kuonyesha mechi zenu igeni real madrid au barcelona. Kila game wawalipe kiasi fulani kikubwa na kama derby isiwe chini ya 1 billion shs. Najua watakataa, lakini njia bora ni wewe kama bilionea kuziokoa timu kama coastal union, Namungo na nyinginezo. Karia kauza. Anzisha decorder yako. Watu ndio wataujua ukweli wa azam tv na TFF. Wewe ndio mwokozi wa timu ambazo hazina uwezo.
 
Ataanzisha kwa hela zipi? Zile za kufikirika za kwenye vitabu vya Forbes?

Hao Dstv na Startimes walikuwa wapi siku zote hizo kujitokeza kudhamini au kumpa changamoto Azam?

Bilioni 20 tu zenyewe za Klabu, mpaka leo anapiga kiswahili! Halafu ndiyo awe na uwezo wa kumchallenge Azam!!! Mambo mengine ni ya utani sana.
 
Ataanzisha kwa hela zipi? Zile za kufikirika za kwenye vitabu vya Forbes?

Hao Dstv na Startimes walikuwa wapi siku zote hizo kujitokeza kudhamini au kumpa changamoto Azam?

Bilioni 20 tu zenyewe za Klabu, mpaka leo anapiga kiswahili! Halafu ndiyo awe na uwezo wa kumchallenge Azam!!! Mambo mengine ni ya utani sana.
Zote hizi ni hasira za kukandwa pembezoni kidogo mwa nchi ..
 
Ataanzisha kwa hela zipi? Zile za kufikirika za kwenye vitabu vya Forbes?

Hao Dstv na Startimes walikuwa wapi siku zote hizo kujitokeza kudhamini au kumpa changamoto Azam?

Bilioni 20 tu zenyewe za Klabu, mpaka leo anapiga kiswahili! Halafu ndiyo awe na uwezo wa kumchallenge Azam!!! Mambo mengine ni ya utani sana.
Malofa mnakuwa na confidence kichizi!!unakuta kwenye ukoo wenu hakuna mwenye uwezo wa kumiliki hata bodaboda TU.
 
Nilichoshwa na ile kandarasi! Eti tenda anapewa mwenye dau kubwa

Ukiangalia EPL, La liga, Bundasliga n.k utaona zinaoneshwa na TVs kibao hadi za uarabuni huko

Sasa nikajiuliza, kwanin TFF wasingetoa % kwa kila media ili wapate ukwasi kutoka media nyingi na wawarahisishie watu kuangalia mpira bila kulazimika kuwa na Azam!!???

Lakini nikajua tu kuna mawili;
Umbumbumbu wa TFF na fursa kwa Azam
Upigaji wa TFF na fursa kwa Azam

Yote kwa yote wanatufanya tununue liazam wakati wengine hata hatulitaki
 
Azam media ameibrand TPL mno anastahili pongezi.
Hao startimes na dstv n' co walikuwa wapi kuweka bids kubwa!!??

Kuna mwaka kulikuwa na movement kubwa kuwa pesa anayoweka voda haitoshi, voda akawaachia tukacheza msimu mzima bila main sponsor. Azam amewekeza pakubwa na huko tunakopataka tutafika tu twende polepole.
Mwisho mo kuanzisha media ni wazo zuri andika mchanganuo mpelekee ofisini mind you he will have to compete kupata tv rights and i am 100% sure it'll take him ages kufika nusu ya ilipo azam media.

Mwisho kabisa kuanzia msimu ujao mgao hautakuwa sawa kumaanishs yanga mabingwa wa kihistoria na simba mikia hawawezi kulipwa sawa na coastal union au mtibwa ( basing on performance)
 
Bilionea Mohamed Dewji, wewe ni mdau mkubwa wa soka na unaufahamu vizuri sana.Najribu kukushawishi unanzishe kingamuzi au decorder itakayoitwa mo sattelite tv. Pamoja na vipindi vingine uanzishe channel za soka za kuonyesha live mechi za ligu kuu ya bara.Ukiritimba wa azam na TFF ni hatari kwa mustakbali wa soka nchini.

Ukiangalia mambo 2 makubwa la kwanza hakuna tv inayoingia mkataba na chama cha soka cha nchi husika kwa miaka 10 eti kwa bilioni 250 yaani kila mwaka bilioni 25.Mechi 4 tu za yanga na simba zinawarudishia gharama zote.La pili tff na karia hawaangalii maslahi kwani hii tenda waliyoipata azam ilikuwa inatakiwa iwe ya miaka 3 mitatu tu.

Kuipa miaka10 bila tenda ni ukiukwaji mkubwa. Tuna dstv,star times,na nyinginezo zingeshindanishwa na kupewa asilimia kila tv.Tff ingeingiza matrillioni.Kwa kuwa upo simba anzisha decorder yako na wafunze hawa TFF international broadcasting kama england.

Usikubali kuiingiza simba katika mtego huu.Simba ni timu kubwa wakitaka azam kuonyesha mechi zenu igeni real madrid au barcelona. Kila game wawalipe kiasi fulani kikubwa na kama derby isiwe chini ya 1billion shs. Najua watakataa, lakini njia bora ni wewe kama bilionea kuziokoa timu kama coastalunion,namungu,na nyinginezo. Karia kauza. Anzisha decorder yako. Watu ndio wataujua ukweli wa azam tv na TFF. Wewe ndio mwokozi wa timu ambazo hazina uwezo.
Tapeli la kihindi, haliwezi kuwekeza kwenye service, limezoea trading
 
Maskini bwana wanachuki sanaa na matajiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Yaani utadhani umaskini wao unatokana na wengine kuwa matajiriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Go East Go West wasee hauwezi kufanikiwa kwa kumchukia aliyenachoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mathalani tuingize habari za MWISHO WA RELIIIIIIIπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Nilichoshwa na ile kandarasi! Eti tenda anapewa mwenye dau kubwa
Ukiangalia epl, la liga, bundasliga n.k utaona zinaoneshwa na TVs kibao hadi za uarabuni huko
Sasa nikajiuliza, kwanin TFF wasingetoa % kwa kila media ili wapate ukwasi kutoka media nyingi na wawarahisishie watu kuangalia mpira bila kulazimika kuwa na Azam!!???

Lakini nikajua tu kuna mawili;
Umbumbumbu wa TFF na fursa kwa Azam
Upigaji wa TFF na fursa kwa Azam

Yote kwa yote wanatufanya tununue liazam wakati wengine hata hatulitaki
Kwenye biashara kuna suala eti la kuwarahisishia watu? Kabla ya azam kuanza hivyo vyombo vya habari vilikuwa wapi? Na kwa taarifa yako hakuna chombo cha habari chochote kwa sasa cha ndani kinachoweza hata kudhamini ligi hiyo kwa mwaka mmoja tu, mishahara ya wafanyakazi wao tu ni shida, sembuse huko? Wewe unafikiria hizo chaneli za kiarabu zenye haki ya kurusha hayo matangazo ya EPL, wanayapata bure bure?!!
 
Bilionea Mohamed Dewji, wewe ni mdau mkubwa wa soka na unaufahamu vizuri sana.Najribu kukushawishi unanzishe kingamuzi au decorder itakayoitwa mo sattelite tv. Pamoja na vipindi vingine uanzishe channel za soka za kuonyesha live mechi za ligu kuu ya bara.Ukiritimba wa azam na TFF ni hatari kwa mustakbali wa soka nchini.

Ukiangalia mambo 2 makubwa la kwanza hakuna tv inayoingia mkataba na chama cha soka cha nchi husika kwa miaka 10 eti kwa bilioni 250 yaani kila mwaka bilioni 25.Mechi 4 tu za yanga na simba zinawarudishia gharama zote.La pili tff na karia hawaangalii maslahi kwani hii tenda waliyoipata azam ilikuwa inatakiwa iwe ya miaka 3 mitatu tu.

Kuipa miaka10 bila tenda ni ukiukwaji mkubwa. Tuna dstv,star times,na nyinginezo zingeshindanishwa na kupewa asilimia kila tv.Tff ingeingiza matrillioni.Kwa kuwa upo simba anzisha decorder yako na wafunze hawa TFF international broadcasting kama england.

Usikubali kuiingiza simba katika mtego huu.Simba ni timu kubwa wakitaka azam kuonyesha mechi zenu igeni real madrid au barcelona. Kila game wawalipe kiasi fulani kikubwa na kama derby isiwe chini ya 1billion shs. Najua watakataa, lakini njia bora ni wewe kama bilionea kuziokoa timu kama coastalunion,namungu,na nyinginezo. Karia kauza. Anzisha decorder yako. Watu ndio wataujua ukweli wa azam tv na TFF. Wewe ndio mwokozi wa timu ambazo hazina uwezo.
Mo hana hela ni msela tu mmoja mjanja mjanja , billion 20 kutoa imekua ngojera
 
Bilionea Mohamed Dewji, wewe ni mdau mkubwa wa soka na unaufahamu vizuri sana.Najribu kukushawishi unanzishe kingamuzi au decorder itakayoitwa mo sattelite tv. Pamoja na vipindi vingine uanzishe channel za soka za kuonyesha live mechi za ligu kuu ya bara.Ukiritimba wa azam na TFF ni hatari kwa mustakbali wa soka nchini.

Ukiangalia mambo 2 makubwa la kwanza hakuna tv inayoingia mkataba na chama cha soka cha nchi husika kwa miaka 10 eti kwa bilioni 250 yaani kila mwaka bilioni 25.Mechi 4 tu za yanga na simba zinawarudishia gharama zote.La pili tff na karia hawaangalii maslahi kwani hii tenda waliyoipata azam ilikuwa inatakiwa iwe ya miaka 3 mitatu tu.

Kuipa miaka10 bila tenda ni ukiukwaji mkubwa. Tuna dstv,star times,na nyinginezo zingeshindanishwa na kupewa asilimia kila tv.Tff ingeingiza matrillioni.Kwa kuwa upo simba anzisha decorder yako na wafunze hawa TFF international broadcasting kama england.

Usikubali kuiingiza simba katika mtego huu.Simba ni timu kubwa wakitaka azam kuonyesha mechi zenu igeni real madrid au barcelona. Kila game wawalipe kiasi fulani kikubwa na kama derby isiwe chini ya 1billion shs. Najua watakataa, lakini njia bora ni wewe kama bilionea kuziokoa timu kama coastalunion,namungu,na nyinginezo. Karia kauza. Anzisha decorder yako. Watu ndio wataujua ukweli wa azam tv na TFF. Wewe ndio mwokozi wa timu ambazo hazina uwezo.
Eti mechi 4 tu za yanga na simba zinawarudishia pesa yao!!maneno mengi kumbe hata hujui utaratibu uliopo? Kwa akili yako unadhania kuwa pesa za viingilio ni mali ya azamu! Pesa za kiingilio zote ni mali ya timu mwenyeji wa mchezo. Ni kituo gani cha Tv cha ndani kinachoweza kununua haki za matangazo hayo wakati mishahara tu kwao ni mzigo? Huyo mudy ni mjanja mjanja tu mambo mazito hayo hayawezi, eti simba timu kubwa, timu kubwa wakati haina msingi wowote wa kujisimamia?leo mudy akisema basi kuna nini kitatokea?!!Ndio maana mpira wa nchi hii hauwezi kuendelea , azamu ameifanya ligi hii angalau kuonekana bora kufikia hapa, baada ya kuanza kutoa pesa kwa timu zinazoshiriki, kuzipunguzia makali, watu kama nyie ambao kulipia tu kadi 1000 kwa mwezi mnashindwa hadi wakati wa mkutano mkuu, leo unamuona azamu anawaibia! fanya mahesabu rahisi tu uone hizo zaidi ya bilioni 2, yeye anazirudishaje kwa kila mwezi? na bado gharama nyingine za maandalizi ya mechi husika?
kwa sasa hata kama akiweza kuanzisha decoder yake hizo haki za kuonyesha ligi atazitoa wapi? huyo dtsv ni mara ngapi walikuwa wanafanya naye mazungumzo yanashindikana, kuna mwaka ndio akadhamini KAGAME CUP?!
 
Tapeli la kihindi, haliwezi kuwekeza kwenye service, limezoea trading
Na huko kwenye biashara nako ni kuiga tu products za watu, kwa kubadirisha majina tu!!kama kwenye vinywaji ndio balaa, anasubilia azamu aanzishe kinywaji kipya sokoni kikikubalika tu utasikia naye huyo!!anaongeza neno MO"....ila kinachomshinda ni radha kuipatia!!labda kitu ambacho hakuiga alitumia akili yake ni yale maguta yake ambayo yanalia kama genereta la meli, kelele tupu!!!
 
Back
Top Bottom