BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
rubbish!
ukiwa maiti bwana!
Mambo yako ya
maiti maiti!
Mimi nilisikiliza hicho kipindi. Mnyika hakwenda kwa Diva bali alipigiwa simu na Diva na akaanza kuulizwa maisha yake ya kimapenzi. He was short and clear kuwa hapendi maisha yake binafsi yaongelewe publicly kama haina sababu za msingi. Ndo Loveness akajisikia vibaya.
My take. Mnyika was very right. si kila mtu anapenda kuongelea maisha yake binafsi redioni. Mbona hawampigii Tyson kumuuliza kama ana mke na alimpataje?
umarekani kwa watanzania masikini haupendezi...
huyo Diva angechagua watu wa kuwahoji
mbona kuna watu kibaao ambao wanatamani kuhojiwa mambo yao binafsi...
lazima wanasiasa?
Kwani wewe ni lini uliwahi kuwa Against Wafu fm?..........Wait a minute...so just out of the blue Diva decided to hit him up and started prying into his private life? That the whole interview thing wasn't planned? That Mnyika is that unfamiliar with Diva and her show?
I'm having a hard time believing that was the case.
Here wo go again!
Mnyika naye kwa nini alikubali kwenda kwa Diva? Alitegemea ataulizwa mambo ya miswada ya bungeni? Come on now...
Mtangazaji mahiri na maarufu wa kipindi cha Ala za Roho kinachorushwa na Clouds Fm ametoa siri kuhusu mahojiano yake na Mnyika. Siri hizo ni pamoja na ushamba wa Mnyika kuingiza mambo ya umma na maji katika kipindi kinachohusu mapenzi. Diva amesema pia Mnyika alitambua kwamba Diva alikasirika na kumkatia simu baada ya kukaa kujibu swali rahisi kabisa kuhusu mapenzi.
Diva ametoa sauti ya mahojiano yake hayo aliyoyafanya na Mnyika baada ya kumpigia simu na kumrekodi akimuuliza iwapo ana Girl Friend ambapo Mnyika alikataa kujibu wa kisingizio kuwa masuala yake binafsi sio ya kuyazungumza kwenye vyombo vya habari bali mambo ya umma pekee ndiyo anayoweza kuyatolea kauli kwenye vyombo vya habari.
Madai hayo yanasikika kupitia: DIVA VS MNYIKA by DivaAKAmimi on SoundCloud - Create, record and share your sounds for free
Mnyika alitoa madai hayo huku akitambua kwamba yeye ni mwanasiasa hivyo maisha yake binafsi yanapaswa kujulikane yote kwa umma bila kuficha kitu chochote.
Hali hiyo ilimfanya Diva achukie na kukata simu bila mahojiano hayo kwa njia ya simu kukamilika, hali ambayo ilimfanya Mnyika atambue kama anavyosikika kupitia: DIVA VS MNYIKA- BEHIND THE SCENE by DivaAKAmimi on SoundCloud - Create, record and share your sounds for free
..........ndiyohiyo
Kwani wewe ni lini uliwahi kuwa Against Wafu fm?..........
Am just thinking!!
Mabinti wa kibongo bana full time wanawaza ngono tu! Who si diva by the way? Kwani hakukuwa na maswali mengine ya kimaendeleo au kwa vile yeey anaongelea mapenzi basi kila mtu lazima aongelee habari hizo? Kwanini asingemuuliza kama ananyumba au anakiwanja? Kwangu mimi haya ndiyo maswali ya msingi kabla ya huo ***** mwangine! Hivi huyo diva anaweza kuelezea ameshatoa mimba mara ngapi?
Mnyika hakutakiwa kwenda kwenye hicho kipindi; wanasiasa wanaojipeleka huko na kufunua mambo yao wanajiweka katika hali ya kufunuliwa zaidi. Ila hata hivyo nimependa majibu ya Mnyika ambayo ni very standard and well thought and reasoned.