Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
kwani wewe mkuu unafanyaga mapenzi mara ngapi?Haaaaa watu Geneous hatuwazi kuoa, haaaaa!!!!
Only simple brain thinks about sexual issues!!!! Kwani Diva ana midume mingapi??
kwani wewe mkuu unafanyaga mapenzi mara ngapi?Haaaaa watu Geneous hatuwazi kuoa, haaaaa!!!!
Only simple brain thinks about sexual issues!!!! Kwani Diva ana midume mingapi??
Jamaa mshamba kweli. Anaulizwa na Diva kama ana girlfriend anajibu ooh maswala ya siasa yasichanganywe na siasa. Clouds wakaamua kumkatia simu. Yaani huyu jamaa anafikiri kila sehemu ni kuuza siasa tu? Hajui hata Obama mwenyewe huwa anahojiwa na Alex Blastick, yule mcheza filamu za ngono? Huu ushamba huu wee Mnyika.
Hapo ndipo unapoonyesha kuwa uwenda haupo katika kikundi cha raia makini wa nchi hii, nadhani sasa naweza ku'bet' kuwa mpaka sasa hivi haujui kwa nini serikali ya Tanzania imekataa sharti la Cameron wa Uingereza juu ya misaada.Sasa mbona ni kama unamponda tu? Kujua kuongea kitu kwa wakati muafaka si ndiyo ingekuwa pale! Halafu siyo kweli kuwa kukataa kuongelea mapenzi inamaanisha umakini wa mtu. Huyo Bush mwenyewe alikuwa anapiga story na Oprah. Mnyika nani bwaaaaanaaaaaaa?
Kwa mtazamo wa haraka haraka Radhia umejaa wivu na husuda juu ya JJ. Kama vipi si umuibukie FB kwenu kule halafu send Invitation to treat huenda akakutumia offer. Ila kwa comments zako unaonekana ajuza na ninavyonfahamu Jj wanawake wazee na yeye mbalimbali.
Kama una hamu mtafute womanizer Adam Malima atakupa tu dudu
Utakuwa Mnyika wewe.
kwani hiyo clip ni Jakaya huyu Rais wetu ndio huwa anaongea!! na sio Steve Nyerere ameigiza hiyo sauti?.......kama hiyo sauti ni Jakaya mwenyewe count hatuna Rais wala Rahisi tumeliwa mazima.naitwa JMK.Rais wa JMT.dunia yangu,chaguo langu......,....,..! Unashindwa kukaa na kutafakari mambo mahimu.nchi inamatatizo kibao,unabaki unarekodi mambo hovyohovyo tu.
kwani wewe mkuu unafanyaga mapenzi mara ngapi?
it was like this, una GF?
Simple answe: haya ni maisha binafsi na sio ya uma. Maisha yangu, kaka, dada na mke au kama hivo ni yangu sio ya uma.
Clouds FM inakata simu,
Poa tu kata.
Jamaa mshamba kweli. Anaulizwa na Diva kama ana girlfriend anajibu ooh maswala ya siasa yasichanganywe na siasa. Clouds wakaamua kumkatia simu. Yaani huyu jamaa anafikiri kila sehemu ni kuuza siasa tu? Hajui hata Obama mwenyewe huwa anahojiwa na Alex Blastick, yule mcheza filamu za ngono? Huu ushamba huu wee Mnyika.
Angeuchuna tu. Halafu simu ilivyokatwa anaanza kulialia.
Radhia Sweet, una mchumba, boyfriend au ,ume?Sasa mbona ni kama unamponda tu? Kujua kuongea kitu kwa wakati muafaka si ndiyo ingekuwa pale! Halafu siyo kweli kuwa kukataa kuongelea mapenzi inamaanisha umakini wa mtu. Huyo Bush mwenyewe alikuwa anapiga story na Oprah. Mnyika nani bwaaaaanaaaaaaa?
Angeuchuna tu. Halafu simu ilivyokatwa anaanza kulialia.
Radhia Sweety, nauliza tena; una mchumba, mume au boyfriend? Kutokujibu kwako swali hili ina maana na wewe ni msha,ba na hauko kama Obamakwanini alikubali mwaliko? Jamaa mshamba kinoma yaani.
Kwa kuwa mpaka sasa hajajibu iwapo ana mime, mchumba au boyfriend na iwapo ameachika mara ngapi, basi hana hoja tena hapa mopendwa Radhia Sweety kwani anachohoji hataki kuhojiwa. Inawezekana yafuatayo: aliwahi kumtaka JJ Mnyika akapigwa chini, au ana matatizo ya kisaikolojia kuhusu suala zima la mapenzi, au anataka kumpata Mnyika lakini hajuia njia sahihi ya kumpata, au ametumwa na magamba kujichunia kwa mh akakwama sasa anaropoka:Kuna watu wana vichwa vikubwa lakini ubongo wao ni sawa na mbuni.
Kuna wawili nawajua, radhia na diva!!