Edson Silumbe
Member
- Nov 27, 2010
- 52
- 27
CharityBoy,This is the home of great thinkerz,people with fine minds! If by any chance u dont meet ths requirement,please unsubscribe yourself frm the forum!
Nevertheless,kwa sababu za kibinadamu niseme!
Mnyika si mtu anayeongozwa na sifa au kiu y madaraka,kama angekuwa anataka sifa au umaarufu angeanza kushikia bango issue za Ubungo kabla ya Taifa!
John ameanza na issue ya Katiba kwa sbb ndiyo chimbuko la Matatizo karibu yote ya taifa hili yakiwemo hayo ya Ubungo,eg Maji si tatizo la Ubungo tu,hata cc wa Jimbo la Segerea tunalo na kila kona ya nchi yetu kilio ni hikohiko!!
Sasa tunapoanza kushughulikia matatizo,hatuanzi na tukio,tunaanza na chanzo,tunaanza na mzizi na sio matawi!!
Mzizi hapa ni katiba which in essence is a system of BASIC LAWS by which a country is governed,sasa kama hz Sheria mama zikiwa na mushkeli,au zimepitwa na wakati au zilitungwa kwa hila ni lazima tuzibadilishe na tuiandike upya!!!
Ndiyo maana ameanza na Katiba,matatizo ya Katiba yanahusu pia Ubungo Charityboy!!
John Mnyika si mbunge wa Ubungo,ni Mbunge wa Tanzania!!!
Mungu Mbariki Mnyika!!!!
Nevertheless,kwa sababu za kibinadamu niseme!
Mnyika si mtu anayeongozwa na sifa au kiu y madaraka,kama angekuwa anataka sifa au umaarufu angeanza kushikia bango issue za Ubungo kabla ya Taifa!
John ameanza na issue ya Katiba kwa sbb ndiyo chimbuko la Matatizo karibu yote ya taifa hili yakiwemo hayo ya Ubungo,eg Maji si tatizo la Ubungo tu,hata cc wa Jimbo la Segerea tunalo na kila kona ya nchi yetu kilio ni hikohiko!!
Sasa tunapoanza kushughulikia matatizo,hatuanzi na tukio,tunaanza na chanzo,tunaanza na mzizi na sio matawi!!
Mzizi hapa ni katiba which in essence is a system of BASIC LAWS by which a country is governed,sasa kama hz Sheria mama zikiwa na mushkeli,au zimepitwa na wakati au zilitungwa kwa hila ni lazima tuzibadilishe na tuiandike upya!!!
Ndiyo maana ameanza na Katiba,matatizo ya Katiba yanahusu pia Ubungo Charityboy!!
John Mnyika si mbunge wa Ubungo,ni Mbunge wa Tanzania!!!
Mungu Mbariki Mnyika!!!!