Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Changamsha akiri,katiba imechangia kwa kiasi kikubwa kuzorota kwa miradi ya maendeleo hapo ubungo.So swala analodai mnyika ni la msingi sana.Katiba ikibadilishwa uchakachuaji utapungua na uwajibikaji utaongezeka.Maendeleo ubungo utayaona nini tena unataka zaidi ya hapo?
ziongeze sheria humu ndani Jamvini Ya kuwa mtu akipost UZI usio na kichwa wala miguu azuiliwe kwa wiki moja kushiriki wana jaza serve tu hawa p*****f**
Better be silent and be regarded as a fool than speak and remove all doubts. Kunyamaza ni busara zaidi kuliko kujianika hapa kwamba hata A,B,c za ubunge huzijui. Asipowasilisha hoja binafsi Mnyika utaifanya kazi hiyo wewe? Kwani Mwakyembe aliposoma ripoti ya Richmond alitumwa na Wana Kyela au alikuwa anatekeleza majukumu ya kikatiba? Moto umewasha mwenyewe wacha ukubabue tu.sasa jamani kunishambulia kiasi hiki hakusaidii. Sidhani kama nimekosea ni bora mkanielekeza. Kauli mnazotuia mtanifanya nisitowe tena mawazo yangu kitu ambacho si haki.
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.
Wewe acha UZUMBUKUKU wewe. unaweza kufafanua Katiba imezorotesha vipi maendeleo ya Ubungo? Nina wasiwasi kama hata ushawahi kuisoma hata Katiba hii tulionayo. Ungefafanua specific vifungu vya Katiba vilivyozorotesha Maendeleo ya Ubungo kuliko kugeralize mambo.
Naamini ulikuwa unaandika hii post wakati umekalia mpingo wa mtu. Akili haikuwepo!!!
Ukisimama lete post nyingine yenye akili...... Heri ya mwaka mpya!!!:whoo:
<br />Sifikirii kama watu wa ubungo wamemtuma kazi hiyo ya kupeleka mapendekezo ya katiba. Sisi wana ubungo tuna matatizo mengi sana hasa tatizo la maji. Yeye anajipendekeza na kutafuta umaarufu. Kazi tuliyomtuma imemshinda au!<br />
<br />
Kama ataendelea kutukiuka watu wa ubungo basi ajue ndio mwisho wake. 2015 tunarudi CCM au kwa kijana wetu MTATIRO.