AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,049
Kanda ya Kusini mikoa ya Lindi na Mrwara ni ngome ya CUF, ni vema hii NGO ya Mtei ikatambua hilo ili UKAWA iendelee kubaki...!
Ndio hapo tunapoona umauti wa akili za UVCCM, CHADEMA mnaita saccos lakini kila siku inawalaza hoi mnatumia mabilion ya shilingi kupambana na saccoss? Hahahaha basi hii saccoss ni makini sana, ndio iliyoweza kuwafungua akili walimu, wanafunzi, wafanyabiashara, wakulima, mashehk, maaskofu, madereva juu ya haki zao hatimaye leo hii kila kukicha ni migomo ya kufa mtu, na bado huo ni mwanzo tu mkuu more struggles to come ahead just before hamjatuachia nchi yetu mwezi october.