Ni kweli kaka yupo vizuri ila mi kinachonikera ni unafiki uliopitiliza wa other MP's..!Jamani kwa waliofuatilia hotuba ya kambi rasmi ya upinzani mtakubaliana na mimi kuwa John Mnyika is the best Mp.
Hotuba ya kurasa 119,zilizosheheni hoja kali ni record.
Kwani shemeji wako wa magogoni anapoitwa Dr katetea thesis ipi? Katoka na theory gani? Ana Masters ya nini? Alidefend hiyo Phd yake mbele ya Madr wangapi? Hebu tupe title ya thesis yake!!!Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
Jamani kwa waliofuatilia hotuba ya kambi rasmi ya upinzani mtakubaliana na mimi kuwa John Mnyika is the best Mp.
Hotuba ya kurasa 119,zilizosheheni hoja kali ni record.
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1
Le Mutuz System
Le Mutuz System
ya NBC umeyakimbia hivi hivi, haya sasa ona unavyojitoa ufahamu, hivi kusema alama za mnafiki ni 3 ndo amesa kuruani? umemsikia dada yako Anna Kilango malecela, alitoa hoja yeyote kwenye mchango wake?
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1
Le Mutuz System
Le Mutuz System
Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
kubwa jinga linadhani kuwa intelligent ni kuwa intellectualWeka elimu ya Gates hapa kabla hajagundua vitu ambavyo maprofesa wa toka enzi za Newton hawakugundua...........alafu kwa taarifa yako mleta mada amesema Mnyika ni very bright na according to Cambridge Dictionary Bright Person is a person who is intelligent, and full of energy and enthusiasm . Hakuna mahali wamehusisha elimu na mtu kuwa Bright.......
Acha siasa zako za kishamba :der:
Hiki kichwa ni Presidential Material...
aaa! sorry, nshasahau, hata hivyo Kubwa Jinga kampita umri mama yake basi??Mkuu Anna Kilango ni mama yake na sio dada yake.
Inasemekana ni First Lady msahaulika.
Hapo CHADEMA ni Mnyika tu ana akili timamu kidogo. Lakini Mbowe anavyompelekesha sijui kama atadumu kwenye utimamu wake.Wewe ni KILAZA tu tangu uzaliwe haujawahi hata kupata A moja. Mnyika ana uwezo wa kuwa professor na sio le professor wa kawaida bali wale wanaoweza kuleta IMPACT kubwa kwenye jamiii.
Kwa nini isiwezekane mkuu?? Kuna Honorary Professors kibao! Google utapata tu!
Daud Mchambuzi, Mnyika hajaishia la saba,la saba ni kina Lusinde na Maji Marefu wa CCM,Kiakili na intelligence Mnyika ni zaidi ya Miprofesa ya maCCM na mibunge yote ya CCM na hata Upinzani ndio role Model!!!
Kiazi ni afadhari kinaweza kaangwa, pikwa, chemshwa, liwa mavi yakawa mbolea. Huyo jamaa ni condomo-haiwezi ikabadilishwa matumizi ikishatumika.
Wewe ni KILAZA tu tangu uzaliwe haujawahi hata kupata A moja. Mnyika ana uwezo wa kuwa professor na sio le professor wa kawaida bali wale wanaoweza kuleta IMPACT kubwa kwenye jamiii.
Hapana, mimi naona kahororoja sana na kupiga kelele zisizo na mpango, kama wale wachungaji wanaotafuta "wajinga ndio waliwao".
Ngoja Mhongo atapokuja zipanguwa kelele za Mnyika ndiyo utajuwa nini maana ya kichwa.
Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.