Mnyika is the brightest MP in Tanzania

Mnyika is the brightest MP in Tanzania

haya elimu yake hiyo hapo kwi kwi kwi kwi kwi
 

Attachments

  • 1401441163453.jpg
    1401441163453.jpg
    60 KB · Views: 310
- Mimi nina elimu ambayo Mnyika hana kama unabisha weka elimu ya Mnyika hapa wacha longo longo!!

Le Mutuz System
elimu kitu gani kama ulikuwa mkumu wa kuelewa mwepesi kusau wewe ni kilaza tu..........................
na watu wa namna hiyo hutumia nguvu nyingi kusoma lakini we used to call them vilaza
 
Kwa tafsiri rahisi hujui "ELIMU" ni nini?
sham on you Lemutuz

- Kwa tafsiri ya Juu sana elimu ni ya darasani ili uwe kiongozi unatakiwa kuwa na elimu kuliko unaowaongoza, sasa kama huan ndio unakuwa kama Mn yika unasoma maneno yako badala ya kwenye hotuba ya bajeti ambayo ni makosa makubwa sana!!

Le Mutuz System
 
elimu kitu gani kama ulikuwa mkumu wa kuelewa mwepesi kusau wewe ni kilaza tu..........................
na watu wa namna hiyo hutumia nguvu nyingi kusoma lakini we used to call them vilaza

- Weka elimu ya Mnyika kaka wacha longo longo!!

Le Mutuz System
 
- Kaka wacha matusi haya una[poteza muda bure weka elimu ya Mnyika hapa wacha taarabu hapa, weka elimu ya mnyika!!

Le Mutuz System

Hapa sipotezi muda ila nakupa ukweli.... kwanza hujui maana ya Elimu! Wewe unasafiria nyota ya mafisadi wanaokuokoa ili usife njaa hapa bongo.... KUBWA JINGA utasubiri mpaka utakufa na shinikizo la damu hata uenyekiti wa mtaa hupati. Na 2015 mtakufa wengi kwa kihoro...
 
- Unaweza kumlinganisha Gates na Mnyika? Gates ni College drop out ambayo kwa hapa bongo ni sawa na Degeree ya UDSM, ukweli ni kwamba Mnyika hana elimu amekimbia UDSM kama unabisha weka elimu yake hapa!1

Le Mutuz System
wewe na yule Lameck Mkumbo Madelu akili zenu sawa sawa
 
Daud Mchambuzi, Mnyika hajaishia la saba,la saba ni kina Lusinde na Maji Marefu wa CCM,Kiakili na intelligence Mnyika ni zaidi ya Miprofesa ya maCCM na mibunge yote ya CCM na hata Upinzani ndio role Model!!!

najua hajaishia la saba, ila cheti chake cha la saba ni credible kuliko phd ya Muhongo.
 
- Unaweza kumlinganisha Gates na Mnyika? Gates ni College drop out ambayo kwa hapa bongo ni sawa na Degeree ya UDSM, ukweli ni kwamba Mnyika hana elimu amekimbia UDSM kama unabisha weka elimu yake hapa!1

Le Mutuz System

Weka elimu ya Gates hapa kabla hajagundua vitu ambavyo maprofesa wa toka enzi za Newton hawakugundua...........alafu kwa taarifa yako mleta mada amesema Mnyika ni very bright na according to Cambridge Dictionary Bright Person is a person who is intelligent, and full of energy and enthusiasm . Hakuna mahali wamehusisha elimu na mtu kuwa Bright.......

Acha siasa zako za kishamba :der:
 
- The bottomline Mnyika hana elimu kama yangu kama unabisha iweke hapa tuone!, mtu mwenye alimu hawezi kusimama ,mbele ya Bunge na kuanza kusoma maneno ya qurani hajui kwamba kila kitu kina mahali pake ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System

We jamaa ni bwabwa kwa kweli..Kwani kusoma Quote ya Quran kuna shida gani? afteral hujui kuna kina komba,Wasira and the like hua wanaenda kulala mule........
 
- Kwa tafsiri ya Juu sana elimu ni ya darasani ili uwe kiongozi unatakiwa kuwa na elimu kuliko unaowaongoza, sasa kama huan ndio unakuwa kama Mn yika unasoma maneno yako badala ya kwenye hotuba ya bajeti ambayo ni makosa makubwa sana!!

Le Mutuz System

Kweli mtoto wa marichera ni mbumbu kuliko,kwahyo kikwete anawazdi Elimu anaowaongoza?kuwa kiongozi bora elimu sio kigezo cha msingi ispokua busara na hekima zikutawale kwani unao waongoza ni watu tofauti na wenye viwango vya Elimu tofauti.
Ili kuwa mtaalamu wa jambo furani unahitaji elimu ili kumdu mazingira ya kazi yako kwa ufasaha lakini kiongoz anahitaji kuwa msikivu,mwelewa na mwenye kufuata sheria katka maamzi na hekima na busala zimtawale siku zote.
 
- Unaweza kumlinganisha Gates na Mnyika? Gates ni College drop out ambayo kwa hapa bongo ni sawa na Degeree ya UDSM, ukweli ni kwamba Mnyika hana elimu amekimbia UDSM kama unabisha weka elimu yake hapa!1

Le Mutuz System

Wenzio wanatumia elimu zao kuikomboa jamii, wewe unatumia ''kunyweshewa'' bia na kina Juma Pinto, ...unatofauti gani na vigodoro wewe
 
- Nasema hivi Mnyika hana elimu mshauriini arudi shule then atajua tofauti ya kusoma qurani bungeni masikitini alichofanya leo ni impoossible kuamini ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System

wewe unayo elimu ila ulipopata nafasi ya kujielezea mbele la bunge wakati ukijinadi kuwania nafasi ya ubunge wa eac uliishia kuacha harufu mbaya pale bungeni.
Muhongo anayo P.H.D ila ni sawa na hajaenda shule kabisa coz ukishajiunga tu na CCM akili zote huwa mnazicha chooni.
 
Nani kakuambia ukiwa na elimu ndio unakuwa na uwezo mkubwa wa kufanya mambo ya maana,hivi unadhani elimu yako wewe hata unavyo jisifia inafaida yoyote katika jamii,hivi kati yako wewe na KINJEKITILE NGWALE, nani mwenye elimu kubwa?nadhani elimu yako haina maana wewe na masisiemu wenzako ni sawa na Chief Mangungo.
 
- Amesoma qurani tena mara 3 juu ya maneno ya ambayo hayahusu kabisa na Madini na Nishati maana yake ni moja hana elimu ya kutosha, tuwache kuandikia mate na wino upo, wekeni elimu ya mnyika hapa!!

Le Mutuz System

mimi sizungumzii kuhusu mnyika wala Muhongo,nimegusia mambo ya kuchezea chezea imani za watu,,,,wanasiasa mnapenda sana kuchezea iman za watu,,,,,,like lukuvi i hate this,,,,,
 
Back
Top Bottom