Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,233
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1
Le Mutuz System
Le Mutuz System
William Jumanne Malecela...Mnyika humfikii hata 1/9 ya uwezo alionao.......Wewe saizi yako ni mabebs wa Ukweli...kina wema sepetu..kina Kajala Masanja...kina Flora Mbuta....Kina Lulu Michael..Kina Aunt Ezekiel na wengine.....
Sana sana labda ujue kuwa kwa elimu yako ya ubaharia hata humfikii mnyika hata kama asingeenda darasa hata moja