Mnyika is the brightest MP in Tanzania

Mnyika is the brightest MP in Tanzania

- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

William Jumanne Malecela...Mnyika humfikii hata 1/9 ya uwezo alionao.......Wewe saizi yako ni mabebs wa Ukweli...kina wema sepetu..kina Kajala Masanja...kina Flora Mbuta....Kina Lulu Michael..Kina Aunt Ezekiel na wengine.....

Sana sana labda ujue kuwa kwa elimu yako ya ubaharia hata humfikii mnyika hata kama asingeenda darasa hata moja
 
Wewe hiyo Diploma yako ya meli imekusaidia nini? wakati hata kuvua kambale kwenye tope huwezi

- Hawa ninakuamini sana sasa siamini unataka kutetea mediocre mshauri Mnyika arudi UDSM hana elimu ndio maana anaweza kwenda bungeni kujadili qurani kwenye mjadala wa MAdini na Nsihati sad!!, yaani kaka leo unatetea mbunge asiye na elimu?

Le Mutuz System
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

nafahamu unamjua vizuri mnyika
.
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

Mnyika na yule Mama yako anayepayukapayuka tu ambapo aliwahigi kujifanya anapambana na ufisadi nani mtetea maslahi ya Umma??!! Nani mjenga hoja zenye mashiko??!!

Baba yako alikuwa kiongozi mkubwa je alifanya kipi cha maana??!! Japo hata jimboni kwake Mtera kipi??!! Au aliwekeza kwenye vitambi na vipara???!!

We ni mtu mzima sana,kuwa na staha,changia kwa hoja zenye mashiko na sio viroja vya tambo za kipuuzi!!!!

Njoo ujichekeshe sasa!!
 
Wewe Sasa unatafuta SOKOMOKO NA WENYE DINI YAO! Yaani hotuba ya Mnyika unaifananisha ni QURAN TUKUFU! Kwa maana nyingine Mhe. Mnyika ni sawa Mtume Mohammed SAW?!

- Nimeshitushwa kumsikia anasoma maneno ya qurani kwenye siasa au hukumsikia? aibu!1

Le Mutuz System
 
Mnyika na yule Mama yako anayepayukapayuka tu ambapo aliwahigi kujifanya anapambana na ufisadi nani mtetea maslahi ya Umma??!! Nani mjenga hoja zenye mashiko??!!

Baba yako alikuwa kiongozi mkubwa je alifanya kipi cha maana??!! Japo hata jimboni kwake Mtera kipi??!! Au aliwekeza kwenye vitambi na vipara???!!

We ni mtu mzima sana,kuwa na staha,changia kwa hoja zenye mashiko na sio viroja vya tambo za kipuuzi!!!!

Njoo ujichekeshe sasa!!

- Mkuu ninasema hivi Mnyika hana elimu kama yangu unabisha iweke hapa!!

Le Mutuz System
 
William Jumanne Malecela...Mnyika humfikii hata 1/9 ya uwezo alionao.......Wewe saizi yako ni mabebs wa Ukweli...kina wema sepetu..kina Kajala Masanja...kina Flora Mbuta....Kina Lulu Michael..Kina Aunt Ezekiel na wengine.....

Sana sana labda ujue kuwa kwa elimu yako ya ubaharia hata humfikii mnyika hata kama asingeenda darasa hata moja

- The bottomline Mnyika hana elimu kama yangu kama unabisha iweke hapa tuone!, mtu mwenye alimu hawezi kusimama ,mbele ya Bunge na kuanza kusoma maneno ya qurani hajui kwamba kila kitu kina mahali pake ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System
 
Myinka ni backbone ya CDM. Kwa wabunge vijana wote, he is the best!!
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System
Mama yako wa kambo kachemsha mbaya kabisa leo , kumbe ni pendulum huyu mama yako.........Richmond alikuwa mkali IPTL anaanza kusengenya watu.......naamini maneno ya Sendeka kuwa alihongwa ......she is no longer ........she is just another fisadi.......
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

Acha U.p.mb wako, kitabu cha Dini kinaingiaje hapo, mtu mzima ovyooo!
 
- Mkuu ninasema hivi Mnyika hana elimu kama yangu unabisha iweke hapa!!

Le Mutuz System

Mkuu, ni kweli kabisa, Mnyika hana Elimu (Vyeti) kama vyako. Lakini ni Bright kukuzidi, na alipata A za kutosha Form Four ambazo wengi wetu hatuna uwezo huo.

Mbona watu hawataki ukweli>>
 
Mama yako wa kambo kachemsha mbaya kabisa leo , kumbe ni pendulum huyu mama yako.........Richmond alikuwa mkali IPTL anaanza kusengenya watu.......naamini maneno ya Sendeka kuwa alihongwa ......she is no longer ........she is just another fisadi.......

- Nasema hivi Mnyika hana elimu mshauriini arudi shule then atajua tofauti ya kusoma qurani bungeni masikitini alichofanya leo ni impoossible kuamini ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

Shule ya Darasani ni Useless kama common sence huwezi kutumia.
 
- The bottomline Mnyika hana elimu kama yangu kama unabisha iweke hapa tuone!, mtu mwenye alimu hawezi kusimama ,mbele ya Bunge na kuanza kusoma maneno ya qurani hajui kwamba kila kitu kina mahali pake ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System
Elimu hupimwa kutokana na mchango wa muhitimu husika katika jamii yake - Elimu si vyeti.
sasa tuambie nini mchango wako (tangible) katika jamii yetu ili ku-justify elimu yako? Mchango wa John Mnyika unaonekana hata ukimuuliza mtoto wa shule ya msingi.
 
- The bottomline Mnyika hana elimu kama yangu kama unabisha iweke hapa tuone!, mtu mwenye alimu hawezi kusimama ,mbele ya Bunge na kuanza kusoma maneno ya qurani hajui kwamba kila kitu kina mahali pake ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System
Wewe una elimu ipi? Ukitaka kujua mtu mjinga ni jinsi atakavyokuwa anajisifia kuwa Ana elimu , kumbe ni ujinga tu .....vyuo vyenyewe ulivyosema ndio vilevile vilimpa Lyatonga Mrema PHD ......
 
Back
Top Bottom