KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,207
- 1,965
Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
Umekariri uprofesa mpaka awe na degree??
Hii nchi ina majuha wengi sana, tatizo hawajitambui tu.
Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
Wewe Sasa unatafuta SOKOMOKO NA WENYE DINI YAO! Yaani hotuba ya Mnyika unaifananisha ni QURAN TUKUFU! Kwa maana nyingine Mhe. Mnyika ni sawa Mtume Mohammed SAW?!
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1
Le Mutuz System
Le Mutuz System
WEWE KUBWA JINGA, UNAWAHAMISHA WATU KWENYE MADA UMEWAPELEKA KWINGINE NA NDO LENGO LAKO, KILA UNACHOKIANDIKA NI KURAN,ELIMU. USIVYOJITAMBUA UNADAI DINI PALE C MAHALA PAKE WAKATI KILA SKU KABLA BUNGE HALIJAANZA INASOMWA DUA, PIA UMESAHAU HATA MIBUNGE MIJINGA MIJINGA YA MACCM KAMA WW HUWA INANUKUU VIFUNGU VYA BIBLIA NA KURAN, LEO MNYIKA KISA NI CDM NDO UNALETA UJING.A WAKO HAPA, kubwa kimwili lakini halina hazina hata ndogo ya busara. KUBWA J.INGA WEWE MS.ENGE KABISA HUNA MAANA.
WEWE KUBWA JINGA, UNAWAHAMISHA WATU KWENYE MADA UMEWAPELEKA KWINGINE NA NDO LENGO LAKO, KILA UNACHOKIANDIKA NI KURAN,ELIMU. USIVYOJITAMBUA UNADAI DINI PALE C MAHALA PAKE WAKATI KILA SKU KABLA BUNGE HALIJAANZA INASOMWA DUA, PIA UMESAHAU HATA MIBUNGE MIJINGA MIJINGA YA MACCM KAMA WW HUWA INANUKUU VIFUNGU VYA BIBLIA NA KURAN, LEO MNYIKA KISA NI CDM NDO UNALETA UJING.A WAKO HAPA, kubwa kimwili lakini halina hazina hata ndogo ya busara. KUBWA J.INGA WEWE MS.ENGE KABISA HUNA MAANA.
muulize mzee Jumanne Malecela atakutofautishia kuruan na hadithi- Nimeshitushwa kumsikia anasoma maneno ya qurani kwenye siasa au hukumsikia? aibu!1
Le Mutuz System
Mnyika ni sawa na Wabunge 100 wa CCM.
Wengi walisema kama wewe ila hawakufanikiwa kumbadilisha huyu kiazi
mbona baba riz hata masters hana anaitwa dr.baba riz?Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
si kweli, Mnyika hawezi kufananishwa na mwizi, ukisema zitto 20 unamaanisha mnyika ni mwizi mara 20, tafadhali sana aisee....Mnyika ni sawa na Zitto 20
Wewe Sasa unatafuta SOKOMOKO NA WENYE DINI YAO! Yaani hotuba ya Mnyika unaifananisha ni QURAN TUKUFU! Kwa maana nyingine Mhe. Mnyika ni sawa Mtume Mohammed SAW?!
Hiki kichwa ni Presidential Material...