Mnyika is the brightest MP in Tanzania

Mnyika is the brightest MP in Tanzania

Hata degree hana awe professor?? Mbona unachekesha jamii??!.
Mkuu, ni heshima tu kama ile ya Mkulu wa kaya , au ile ya prof jay, Dr. Camilion, Dr,Cheni......................................................................................................................
 
Jamani kwa waliofuatilia hotuba ya kambi rasmi ya upinzani mtakubaliana na mimi kuwa John Mnyika is the best Mp.
Hotuba ya kurasa 119,zilizosheheni hoja kali ni record.

- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System
 
Mnyika na cheti chake cha la darasa la saba ni ziadi na maprofesa 800 wa CCM kwasababu once unajiunga na CCM akili yote unaiacha chooni.


Daud Mchambuzi, Mnyika hajaishia la saba,la saba ni kina Lusinde na Maji Marefu wa CCM,Kiakili na intelligence Mnyika ni zaidi ya Miprofesa ya maCCM na mibunge yote ya CCM na hata Upinzani ndio role Model!!!
 
Lusinde alikua anaongea uharo mpaka Prof Muhongo akawa anamshangaa, mibunge ya ccm kweli hamnazo
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

Wewe Sasa unatafuta SOKOMOKO NA WENYE DINI YAO! Yaani hotuba ya Mnyika unaifananisha ni QURAN TUKUFU! Kwa maana nyingine Mhe. Mnyika ni sawa Mtume Mohammed SAW?!
 
Back
Top Bottom