Mnyika is the brightest MP in Tanzania

Mnyika is the brightest MP in Tanzania

Mkuu, ni kweli kabisa, Mnyika hana Elimu (Vyeti) kama vyako. Lakini ni Bright kukuzidi, na alipata A za kutosha Form Four ambazo wengi wetu hatuna uwezo huo.

Mbona watu hawataki ukweli>>

- Huwezi kuwa bright bungeni huku huna elimu ya shule, ndio maana anasema qurani bungeni badala ya hoja, unasema hiyo ndio brightness? Wewe kweli unaweza kumlingnaisha Mnyika na Muhongo? duh!1

Le Mutuz System
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

Wewe huna hadhi ya kusimama pembeni ya Mnyika..
 
- Mkuu ninasema hivi Mnyika hana elimu kama yangu unabisha iweke hapa!!

Le Mutuz System

Nakufahamu fika ulivyo empty set Kichwani kuanzia pale Mt Vernon,pub ya wabrazil kule kule New York na kina J. Salala,Fred Nyaki etc,kubishana na wewe ni hasara na likely una udugu na Lukosi!!

Hutokua zaidi ya hapo sana sana kuzeeka na kurudi utotoni ila cha ajabu pamoja na exposure bado na ndio maana hata Ulaya na America kuna vichaa na sio kila mjua kiingereza ni Msomi!!

Naamini Mnyika hana haja ya kuwa na elimu sawa au karibu na wavaa vidani!!!
 
Kwa kujisifia tu hamjambo, may be best on the worst sasa kama unamlinganisha na Sugu definitely atakuwa juu.

Jamani kwa waliofuatilia hotuba ya kambi rasmi ya upinzani mtakubaliana na mimi kuwa John Mnyika is the best Mp.
Hotuba ya kurasa 119,zilizosheheni hoja kali ni record.
 
- Nasema hivi Mnyika hana elimu mshauriini arudi shule then atajua tofauti ya kusoma qurani bungeni masikitini alichofanya leo ni impoossible kuamini ndio madhara ya kutokuwa na elimu!!

Le Mutuz System
Hujui kuwa leo ni Ijumaa na Quran tukufu ina maana gani siku ya leo ? Sura za Mnafiki ni tatu na mama yako wa kambo kathibitisha leo Bungeni .........
 
Nakufahamu fika ulivyo empty set Kichwani kuanzia pale Mt Vernon,pub ya wabrazil kule kule New York na kina J. Salala,Fred Nyaki etc,kubishana na wewe ni hasara na likely una udugu na Lukosi!!

Hutokua zaidi ya hapo sana sana kuzeeka na kurudi utotoni ila cha ajabu pamoja na exposure bado na ndio maana hata Ulaya na America kuna vichaa na sio kila mjua kiingereza ni Msomi!!

Naamini Mnyika hana haja ya kuwa na elimu sawa au karibu na wavaa vidani!!!

- yote hii kutetea Mnyika kutokuwa na elimu? ha1 ha! ha?!

Le Mutuz system
 
- Yaani kwa kusoma Qurani kwenye mjadala wa Nishati na Madini ndio anakuwa the best MP? ha! ha! ha! ha!, ungemshauri arudi UDSM akamalizie ile Degree aliyoikimbia!1

Le Mutuz System

Le Mutuz System

Cc: faiza foxy, Ritz, BOKOharam SHORTlisted 1..........Huyu zuzu anazalilisha kitabu kilichoteremshwa..
 
Last edited by a moderator:
Wewe una elimu ipi? Ukitaka kujua mtu mjinga ni jinsi atakavyokuwa anajisifia kuwa Ana elimu , kumbe ni ujinga tu .....vyuo vyenyewe ulivyosema ndio vilevile vilimpa Lyatonga Mrema PHD ......
ha ha ha, huyu na yule mchumi numberi one Tanzania hakuna tofauti.
 
Wewe Sasa unatafuta SOKOMOKO NA WENYE DINI YAO! Yaani hotuba ya Mnyika unaifananisha ni QURAN TUKUFU! Kwa maana nyingine Mhe. Mnyika ni sawa Mtume Mohammed SAW?!

jamani wadau Bobuk na W. J. Malecela msiiguse dini yatu hapa pliz,tujadil mjadala
 
Last edited by a moderator:
Hujui kuwa leo ni Ijumaa na Quran tu kufua ina maana gani siku ya leo ? Sura za Mnafiki ni tatu na mam yako wa kambo kathibitisha leo Bungeni .........

- ha! ha! ha! unasema kusoma qurani bungeni ndio kuwa bright MP? ha1 ha

Le Mutuz System
 
Sendeka atamchana mama yake wa kambo mtu punde , stay tuned ......
 
Unaweza ukawa mtu mzima lkn usiheshimiwe na watoto,na hii yote kwa kuwa wewe mwenyewe haujiheshimu.
Naomba nisaidiwe kwa nini mijitu inayo jipendekeza na iliyopo sisiemu huwa haiwezi kujenga hoja na hukimbilia kutukana?



Dahh kweli majanga yaani ni zaidi ya umevurugwa,hivi kweli unaweza kuita hotuba ni sawa na Qur an!
hii ni dalili ya ugonjwa,hata kama ni mapenzi bro hii imepitiliza sasa.
 
Back
Top Bottom