Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Chadema hampendwi sana katka nchi hiiCCM imekwisha shindwa siasa
Chadema hampendwi sana katka nchi hiiCCM imekwisha shindwa siasa
Wanatengeneza muviTayari dereva Wa mnyika kashatekwa, Na afisa habari, kwa nini nanyi msiteke viongozi Wa ccm? Kila Siku mnalia nyie.
Nishasema mm si mwanaccm...ni mdau tu wa serikali hii...Wewe ndani ya ccm ni sawa na dagaa mchele tu , kinachopangwa na hicho chama hakuna kanisa lingeruhusu mwanaccm kusali , hujui tu .
diamond ana walinzi binafsi zaidi ya 10, mlinzi kapewa mbowe tu.kwa maoni yangu hats lissu angekuja tu apewe cover ya nguvu.gari au MTU yeyote akimfuatilia hovyo imekula kwao.huu unyonge Wa chadema Ni Wa kijinga.Umenena hawa chadema akili hawana bado tu wanalalamika hawana walinzi waombe makampuni binafsi yawalinde .ujanja wote wambao anashindwa kuweka mapandikizi ya ulinzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu habari za kusemwa usitile maanani.iliwahi semwa hapa bwana mkubwa hatunaye kumbe uzushi
Ni uzembe Wa chadema Na serikali piaWanatengeneza muvi
Kama mchungaji amesema hivyo, bila shaka atakuwa amekumbwa na ukichaa.Halafu leo kanisani tunaambiwa na mchungaji eti tumshukuru Mungu kwa serikali iliyopo na viongozi wake!!!
Kila mtu ajiombee mwenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh, kama Ni kuongea tu wengi hats jpm hivohivo tu.usiokoteze taarifaMnyika ameshindwa hata kumaliza masomo shauri ya ugonjwa, hata anavyoongea unaona kabisa hajui anachokisema.
Mmh, kama Ni kuongea tu wengi hats jpm hivohivo tu.usiokoteze taarifa
Haya bwana daktari.mungu ndo anajua ukweliJPM amemaliza kusoma, Mnyika ameshindwa shauri ya ugonjwa, no mgonjwa na amepoteza uhalisia.
Hivi mtu akifuatiliwa na Polisiiiii na Tissiiii, hivi wewe utakuwa na uwezo wa kujilinda kweli?Chadema kuweni serious bhana. Hivi kweli mtu kama katibu mkuu wa chama anafuatiliwa na hao uvccm, na nyie mnaangalia tu kama chui wa karatasi?
Unajiengua kanisani kisa siasa?? Sometimes ni hekima ya mchungaji kusema hivyo... Au ulitaka aiponde serikali... Tatizo mpo addicted na politics sanasana hadi inakucontrol sasa.
Nikweli no upuuzi kusikia watu wasijulikana kukufuatiliabusitoe taarifa,to taarifa ili haao watu washikishwe adabu na tuwajue Kama alivyofanya ZakariaKwa sasa chadema mkitekewa au kupigiwa risasi viongozi wenu utakuwa uzembe tena.tukio LA lissu ulikuwa uzembe Wa chadema kutoweka cover.kwa sasa mkitilia wasiwasi gari yoyote ile iwekeni kati.kama mbwai iwe mbwai.gari kama hizo zichomwe moto kwa nguvu za umma.
Cheap propaganda
Umeongea vyema mkuu utasikia mwingne anasema amehama kanisa kisa halikemei maovu, au Maaskofu wapo karb na viongozi wa serikali hususani asiowapenda.Unajiengua kanisani kisa siasa?? Sometimes ni hekima ya mchungaji kusema hivyo... Au ulitaka aiponde serikali... Tatizo mpo addicted na politics sanasana hadi inakucontrol sasa.