Mnyika apewa Uchifu Mwanza na kupewa jina la Chief Malonja, ataka marekebisho ya Katiba

Wana MWANZA wamempokea Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa shangwe na kuweka historia kwenye mkoa huo kwa kuamua kukabidhi hadhi ya Chifu wa Wasukuma.

Hakika huu ni msimamo wa kujivunia sana kwa wana MWANZA na inaonyesha kuwa sasa wameanza kujua mchele ni upi na chuya ni zipi kati ya CCM na CHADEMA.


MNYIKA APEWA UCHIFU WA WASUKUMA
View attachment 1306538View attachment 1306539
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amewasili mkoani Mwanza ambapo pamoja na mambo mengine amesimikwa kuwa Chifu wa Wasukuma na kupewa jina la Chifu Malonja lenye maana ya Mrekebishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

=====

Chadema chataka marekebisho ya mpito ndani ya Katiba ya sasa

Sunday December 29 2019


BY Jesse Mikofu, Mwananchi jmikofu@mwananchi.co.tz

IN SUMMARY

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania, John Mnyika amesema ili kuwa na tume huru ya uchaguzi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020, yafanyike marekebisho ya mpito kwenye katiba iliyopo sasa.

Mwanza. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania, John Mnyika amesema ili kuwa na Tume huru ya uchaguzi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020, yafanyike marekebisho ya mpito kwenye katiba iliyopo sasa.

Amesema kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba, 2020 haiwezekani kukamilika kwa mchakato mzima wa katiba mpya, lakini inawezekana kufanyika kwa marekebisho ya muda ili kukidhi matakwa ya Watanzania.

Ametoa kauli hiyo leo Jumapili Desemba 29, 2020 katika ofisi za Chadema Kanda ya Victoria, baada ya kusimikwa kuwa chifu na wazee wakisukuma na kupewa jina la kichifu la Malonga likiwa na maana ya kutengeneza mambo yawe mazuri.

Mnyika amewaambia viongozi wa kanda hiyo kuwa hakuna budi vyama vya upinzani kuungana pamoja na kupeleka muswada bungeni kwa ajili ya mchakato huo.

“Yapo madai kwamba katiba mpya ni gharama kubwa, lakini Rais John Magufuli akikubali tupeleka muswada wa dharura bungeni tunaweza kufanya marekebisho ya mpito kwenye katiba tuliyonayo bila kusubiria mchakato mzima wa Katiba mpya,” amesema Mnyika.

Amesema Katiba ya sasa inaweza kuongezwa vipengele vitatu ambavyo ni; kuongeza Tume huru ya uchaguzi, ibara inayotaka matokeo ya uchaguzi wa Rais yapingwe mahakamani .

Pia kunaweza kuongezwa kifungu kinachosema ili mtu atangazwe kuwa mshindi wa urais, lazima awe amezidi asilimia 50 ya kura zote.

Amesema wakati wa uchaguzi mkuu kilikuwapo kipengele cha kupiga kura ya maoni kuhusu aina gani ya katiba inayotakiwa ili wananchi waipigie kura wakati wakichagua wabunge, madiwani na Rais.
Huo uchifu bandia kasimikwa na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kesha kupiga za shingo tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha aa! Lakini ukichunguza kwa umakini...utagundua, huyo Mkuu hayuko informed na kilichotokea. Atakuwa alilishwa maneno ya kuungaunga yaliyoandaliwa na viongozi wa kuu wa "chama chetu" kuwalazimisha wanachama wasusie uchaguzi ule lengo kuunyima nguvu za kutambulika. Bahati mbaya kwao walishindwa.Na hii nasisitiza hapa, viongozi wale walipoka uhuru uhuru wa wanachama wao kufaidi demokrasia ya kuchaguliwa. Sasa kama wanajeuri hao wakuu wa 'chama chetu' wasusie na uchaguzi wa madiwani, ubunge na rais.

Kujua huyo, Mkuu, hayuko informed hakugusia kabisa suala la upendeleo wa wazi ulifanywa kwa mgombea nafasi ya Uenyekiti wa 'chama chetu' makao makuu kwa kuruhusiwa kufanya kampeni muda mrefu zaidi ya mwenzake. Mwenzake alilamika, lakini akaishia kukejeliwa na Mama Mkuu wa 'bawacha', H ah ahaaaa!

Tutaelewana tu!!!
 
Naona unamsema mwenyekiti wako indirect
Ha ha ha aa! Lakini ukichunguza kwa umakini...utagundua, huyo Mkuu hayuko informed na kilichotokea. Atakuwa alilishwa maneno ya kuungaunga yaliyoandaliwa na viongozi wa kuu wa "chama chetu" kuwalazimisha wanachama wasusie uchaguzi ule lengo kuunyima nguvu za kutambulika. Bahati mbaya kwao walishindwa.Na hii nasisitiza hapa, viongozi wale walipoka uhuru uhuru wa wanachama wao kufaidi demokrasia ya kuchaguliwa. Sasa kama wanajeuri hao wakuu wa 'chama chetu' wasusie na uchaguzi wa madiwani, ubunge na rais.

Kujua huyo, Mkuu, hayuko informed hakugusia kabisa suala la upendeleo wa wazi ulifanywa kwa mgombea nafasi ya Uenyekiti wa 'chama chetu' makao makuu kwa kuruhusiwa kufanya kampeni muda mrefu zaidi ya mwenzake. Mwenzake alilamika, lakini akaishia kukejeliwa na Mama Mkuu wa 'bawacha', H ah ahaaaa!

Tutaelewana tu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi huu unamhusu mh Mnyika kusimikwa kuwa chifu wa wasukuma, hivyo basi wewe automatically lazima umheshimu chifu wako.
Ha ha ha aa! Lakini ukichunguza kwa umakini...utagundua, huyo Mkuu hayuko informed na kilichotokea. Atakuwa alilishwa maneno ya kuungaunga yaliyoandaliwa na viongozi wa kuu wa "chama chetu" kuwalazimisha wanachama wasusie uchaguzi ule lengo kuunyima nguvu za kutambulika. Bahati mbaya kwao walishindwa.Na hii nasisitiza hapa, viongozi wale walipoka uhuru uhuru wa wanachama wao kufaidi demokrasia ya kuchaguliwa. Sasa kama wanajeuri hao wakuu wa 'chama chetu' wasusie na uchaguzi wa madiwani, ubunge na rais.

Kujua huyo, Mkuu, hayuko informed hakugusia kabisa suala la upendeleo wa wazi ulifanywa kwa mgombea nafasi ya Uenyekiti wa 'chama chetu' makao makuu kwa kuruhusiwa kufanya kampeni muda mrefu zaidi ya mwenzake. Mwenzake alilamika, lakini akaishia kukejeliwa na Mama Mkuu wa 'bawacha', H ah ahaaaa!

Tutaelewana tu!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi huu unamhusu mh Mnyika kusimikwa kuwa chifu wa wasukuma, hivyo basi wewe automatically lazima umheshimu chifu wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaa! Chifu m'download' kabila. Atuache kwanza, aende akatengeneze uhuru wa demokrasia ndani ya chama. Ajue yeye ndiye mtendaji. Kisha afuate ushauri wa prof huyu kuimarisha grassroots
===
"Some opposition parties are not participating but the reasons are known; most were not prepared to participate. Remember these are local governments where you need to have firmly established your roots down the villages whilst most political parties are predominantly urban based," says Prof. Ahmed Muhiddin.

The Minister for Local Government in Tanzania, Suleiman Jaffoh told reporters in Dodoma that the country was ready for today's election.

Local government elections are a great manifestation of democracy from the grassroots and more than 12,000 villages will participate.

"A great showcase of democracy indeed--We wish Tanzanians all the best," says Prof. Muhiddin, a political scientist
 
Wana MWANZA wamempokea Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa shangwe na kuweka historia kwenye mkoa huo kwa kuamua kukabidhi hadhi ya Chifu wa Wasukuma.

Hakika huu ni msimamo wa kujivunia sana kwa wana MWANZA na inaonyesha kuwa sasa wameanza kujua mchele ni upi na chuya ni zipi kati ya CCM na CHADEMA.
MNYIKA APEWA UCHIFU WA WASUKUMA
View attachment 1306538




View attachment 1306539
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amewasili mkoani Mwanza ambapo pamoja na mambo mengine amesimikwa kuwa Chifu wa Wasukuma na kupewa jina la Chifu Malonja lenye maana ya Mrekebishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabila la Wasukuma sio tuu ndilo kabila kubwa kuliko yote Tanzania, bali Wasukuma ndio watu wanaoongoza kwa upendo Tanzania, wanaume wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa kupenda, viongozi wa Kisukuma ndio wanaoongoza kwa kupiga kazi au kuchapa kazi, Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa ukarimu, ndio maana hapa wamempa uchifu JJ. Mnyika, na sio tuu kwasabubu ni Msukuma, bali Wasukuma ni wakarimu tuu, shuhudia hapa hata Shaggy alipewa uchifu wa Wasukuma, pia kiukweli shuhudia mabinti wa Kisukuma hapo walivyo wazuri, hapa tunazungumzia uzuri na sio urembo!, mabinti wamevaa kaniki na bado wanavutia!, jee wangeongeza na urembo hapo?.




P.
 
Huu uzi unazungumzia Mnyika kusimikwa uchifu wa kisukuma.
Kama unataka habari za Shegy anzisha uzi unao mhusu huyo Shegy wako
Kabila la Wasukuma sio tuu ndilo kabila kubwa kuliko yote Tanzania, bali Wasukuma ndio watu wanaoongoza kwa upendo Tanzania, wanaume wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa kupenda, viongozi wa Kisukuma ndio wanaoongoza kwa kupiga kazi au kuchapa kazi, Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa ukarimu, ndio maana hapa wamempa uchifu JJ. Mnyika, na sio tuu kwasabubu ni Msukuma, bali Wasukuma ni wakarimu tuu, shuhudia hapa hata Shaggy alipewa uchifu wa Wasukuma, pia kiukweli shuhudia mabinti wa Kisukuma hapo walivyo wazuri, hapa tunazungumzia uzuri na sio urembo!, mabinti wamevaa kaniki na bado wanavutia!, jee wangeongeza na urembo hapo?.




P.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabila la Wasukuma sio tuu ndilo kabila kubwa kuliko yote Tanzania, bali Wasukuma ndio watu wanaoongoza kwa upendo Tanzania, wanaume wa Kisukuma ndo wanaongoza kwa kupenda, viongozi wa Kisukuma ndio wanaoongoza kwa kupiga kazi au kuchapa kazi, Wasukuma ndilo kabila linaloongoza kwa ukarimu, ndio maana hapa wamempa uchifu JJ. Mnyika, na sio tuu kwasabubu ni Msukuma, bali Wasukuma ni wakarimu tuu, shuhudia hapa hata Shaggy alipewa uchifu wa Wasukuma, pia kiukweli shuhudia mabinti wa Kisukuma hapo walivyo wazuri, hapa tunazungumzia uzuri na sio urembo!, mabinti wamevaa kaniki na bado wanavutia!, jee wangeongeza na urembo hapo?.




P.

Pascal samahani Braza, hapa umeamua kupotosha makusudically kabisa, SHAGGY Hakupewa uchifu na wasukuma ila alichopewa ni ukaribisho kwenye kabila la Wasukuma.Aliyepewa uchifu ni MNYIKA JOHN.
 
Wana MWANZA wamempokea Katibu Mkuu wa CHADEMA kwa shangwe na kuweka historia kwenye mkoa huo kwa kuamua kukabidhi hadhi ya Chifu wa Wasukuma.

Hakika huu ni msimamo wa kujivunia sana kwa wana MWANZA na inaonyesha kuwa sasa wameanza kujua mchele ni upi na chuya ni zipi kati ya CCM na CHADEMA.


MNYIKA APEWA UCHIFU WA WASUKUMA
View attachment 1306538View attachment 1306539
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amewasili mkoani Mwanza ambapo pamoja na mambo mengine amesimikwa kuwa Chifu wa Wasukuma na kupewa jina la Chifu Malonja lenye maana ya Mrekebishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

=====

Chadema chataka marekebisho ya mpito ndani ya Katiba ya sasa

Sunday December 29 2019


BY Jesse Mikofu, Mwananchi jmikofu@mwananchi.co.tz

IN SUMMARY

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania, John Mnyika amesema ili kuwa na tume huru ya uchaguzi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020, yafanyike marekebisho ya mpito kwenye katiba iliyopo sasa.

Mwanza. Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania, John Mnyika amesema ili kuwa na Tume huru ya uchaguzi kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2020, yafanyike marekebisho ya mpito kwenye katiba iliyopo sasa.

Amesema kwa muda uliobaki kabla ya uchaguzi huo utakaofanyika Oktoba, 2020 haiwezekani kukamilika kwa mchakato mzima wa katiba mpya, lakini inawezekana kufanyika kwa marekebisho ya muda ili kukidhi matakwa ya Watanzania.

Ametoa kauli hiyo leo Jumapili Desemba 29, 2020 katika ofisi za Chadema Kanda ya Victoria, baada ya kusimikwa kuwa chifu na wazee wakisukuma na kupewa jina la kichifu la Malonga likiwa na maana ya kutengeneza mambo yawe mazuri.

Mnyika amewaambia viongozi wa kanda hiyo kuwa hakuna budi vyama vya upinzani kuungana pamoja na kupeleka muswada bungeni kwa ajili ya mchakato huo.

“Yapo madai kwamba katiba mpya ni gharama kubwa, lakini Rais John Magufuli akikubali tupeleka muswada wa dharura bungeni tunaweza kufanya marekebisho ya mpito kwenye katiba tuliyonayo bila kusubiria mchakato mzima wa Katiba mpya,” amesema Mnyika.

Amesema Katiba ya sasa inaweza kuongezwa vipengele vitatu ambavyo ni; kuongeza Tume huru ya uchaguzi, ibara inayotaka matokeo ya uchaguzi wa Rais yapingwe mahakamani .

Pia kunaweza kuongezwa kifungu kinachosema ili mtu atangazwe kuwa mshindi wa urais, lazima awe amezidi asilimia 50 ya kura zote.

Amesema wakati wa uchaguzi mkuu kilikuwapo kipengele cha kupiga kura ya maoni kuhusu aina gani ya katiba inayotakiwa ili wananchi waipigie kura wakati wakichagua wabunge, madiwani na Rais.
Huyu chifu malonja na siku sijamsikia au kesharogwa hawa wasukuma mda mwingine sio watu wazuri,
 
Back
Top Bottom