KWA HILI KIJANA WETU JOHN MNYIKA UMEPOTOKA..................NA UNAPASWA KUMUOMBA RADHI MWIGULU NCHEMBA KUONYESHA UUNGWANA WAKO!!!!!!!! 2004, MWIGULU NCHEMBA a.k.a CHIEF alikuwa THIRD YEAR UDSM-UCHUMI............2005, ALIKUWA ANAFANYA SHAHADA YA UZAMILI (MASTERS) MWAKA WA KWANZA..........OCTOBA 2006 NDIO ALIJIUNGA BOT-BANK OF TANZANIA!!!!!!!!! WAKATI SAKATA LA EPA LILITOKEA 2005!!!!! SEMA UKWELI NA UWONGO UWE MWIKO!!!!!!!! ALUTA CONTINUA!!!
kwa hili kijana wetu john mnyika umepotoka..................na unapaswa kumuomba radhi mwigulu nchemba kuonyesha uungwana wako!!!!!!!! 2004, mwigulu nchemba a.k.a chief alikuwa third year udsm-uchumi............2005, alikuwa anafanya shahada ya uzamili (masters) mwaka wa kwanza..........octoba 2006 ndio alijiunga bot-bank of tanzania!!!!!!!!! Wakati sakata la epa lilitokea 2005!!!!! Sema ukweli na uwongo uwe mwiko!!!!!!!! Aluta continua!!!
Haraka na mapepe ya nini? Tulizeni munkari enyi vibaraka wa nape mnaokubali kuwa watumwa wa fikra. Huyo Mwigulu mnayemtetea jasho la masaburi linamtoka coz he knows very well who is John Mnyika. Mawaziri wote wanakiri kuwa Mnyika ni makini kuliko mbunge yeyote wa ccm. Mnyika siyo mtu wa kukurupuka hata kidogo.
Cdm kuna majembe ya ukweli. Yule kilaza wa Cuf jana anasimama na kumkashifu Mbowe. hivi huyo msomi prof. Na Mbowe ni nani mwenye mafanikio kiutendaji na Kiuongozi? Shame on you.
Uko ovyo ovyo kama Mnyika alivyo ovyo ovyo
Ebu tufahamishe Nchemba alikuwa na cheo gani hapo BoT wakati wa sakata la EPA?
Kuhusika hata kikwete naye anahusika na EPA kwa kuwasamehe watu pasipo kuwapeleka mahakamani
Hivi aliyesema CHADEMA wanahusika na kumteka Dr. Ulimboka waliombwa ushahidi? Au ushahidi unaombwa kutoka kwa Wabunge wa Upinzani tu?
Mwakalinga .Y,
Naona na wewe unajichanganya kuweka hiyo miaka, alichosema Mnyika wakati wizi wa EPA unatokea Nchemba alikuwa mtumishi wa BoT na kusisitiza ni mtuhuimiwa sio kwamba alikuta wizi wa EPA umefanyika.
Bunge letu kwa sasa limekuwa la hovyo sana. Na hii inachangiwa kwa kiasi kikubwa na upendeleo wa wazi unaofanywa na hao wanaokalia kiti cha spika cha kuwakandamiza wapinzani kiasi kwamba kimewafanya wapinzani kuwa na hasira wawapo bungeni. Nilimwona Lisu alivyokasirika pale aliponyimwa nafasi alipoomba mwongozo wa mwenyekiti/spika wakati Sugu alipotakiwa kuwataja Janjaweed. Nafikiri kuna umuhimu wa katiba mpya kutaka Spika kuwa mtu asiyekuwa na chama ili kutoa usawa kwa wabunge wa vyama vyote.
na hilo litakuwasha kweli JJ anao ushahidi mtatafuta pa kutokeaMbona unataka kupotosha kwa makusudi John Mnyika, kasema Nchemba, alikuwa anafanya kazi BoT.
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia
Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA
Huyu jamaa hana adabu ,tunaweza kusema ni mtovu wa nidhamu ,tokea siku ile alivyomwita Raisi kikwete dhaifu na wengine wazembe na juzi akawaita watu machizi nilimuonea huruma sana maana amekosa uadilifu na hana ujuzi wa kuzungumza kwa ufupi hana tofauti na vijana wa vijiweni au wazee wa migahawani.
Vipi utamwita Raisi wa nchi dhaifu tena kwa jina na wengine uwaite wazembe au machizi ndani ya kikao cha bunge ,yaani huyu jamaa anavyosema ni sawa na kelele za jibwa koko tena yule asie na kwao ,anabweka tu utafikiri amekoswakoswa na jiwe.
Kuna haja ya wenziwe kumshauri na asifikirie watu wote wanamtakia wema hata wenziwe wanaweza kuwa na choyo nae na kumwacha akizama katika ujinga.
nape na yule chemba wote wanajichubua?Huyu jamaa hana adabu ,tunaweza kusema ni mtovu wa nidhamu ,tokea siku ile alivyomwita Raisi kikwete dhaifu na wengine wazembe na juzi akawaita watu machizi nilimuonea huruma sana maana amekosa uadilifu na hana ujuzi wa kuzungumza kwa ufupi hana tofauti na vijana wa vijiweni au wazee wa migahawani.
Vipi utamwita Raisi wa nchi dhaifu tena kwa jina na wengine uwaite wazembe au machizi ndani ya kikao cha bunge ,yaani huyu jamaa anavyosema ni sawa na kelele za jibwa koko tena yule asie na kwao ,anabweka tu utafikiri amekoswakoswa na jiwe.
Kuna haja ya wenziwe kumshauri na asifikirie watu wote wanamtakia wema hata wenziwe wanaweza kuwa na choyo nae na kumwacha akizama katika ujinga.