Mnyika Akalia Kuti Kavu

Mnyika Akalia Kuti Kavu

Hivi Mnyika unamjua au unamsikia? Lile ni jembe la kweli huwa anaongea na kusema kwa kufikiri na kila neno analolitoa huwa lina ukamilifu kwa kufanyia nukuu kitaaluma! Alichokitamka ni sahihi na ni ukweli! Kiti kitatumia ubabe lakini ukweli utabakia pale pale! Mch Mtikila alishatamka kuwa mwili wa Baba wa Taifa Mzoga na kuwa serikali imetumia mamilioni ya wavujajasho kuuzika, je alikalia kuti kavu?, Mrema alishasema hadharani kuwa Mkapa ni mwizi na fisadi kwa kushiriki ufisadi wa Bilioni mia tisa je alikalia kuti kavu,

Nyie chadema ndiyo tabia yenu kutete upuuzi,ata madaktari mnawatetea bila kujali afya za watanzania wengi kwa hiyo siwashangahi kumtetea Mnyika wakati mkijua amekosa hiyo ndiyo tabia yenu chadema kumtetea mtu na wakati mkijua amekosa ili kuichafua serikali!
 
Kama unaijuwa shule ya ma Psychic duniani basi ndio hiyo niliyosoma mimi.
Ma Psychic ni wehu tu Mkuu. Mimi siwaamini 100%. Wakati mwingine hawatofautiani na wapiga ramli! And they can make terrible mistakes!
 
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia

Nonsense! Unakurupuka tu kama umekatwa kichwa!
 
Nyie chadema ndiyo tabia yenu kutete upuuzi,ata madaktari mnawatetea bila kujali afya za watanzania wengi kwa hiyo siwashangahi kumtetea Mnyika wakati mkijua amekosa hiyo ndiyo tabia yenu chadema kumtetea mtu na wakati mkijua amekosa ili kuichafua serikali!

Ila wewe unayetetea serikali na mafisadi wanaoiba pesa za walalahoi na kuzileta
huku Ulaya unajiona uko sawa? Ama kweli ni bora unyimwe mali lakini upewe akili.
 
CDM wamejipanga kila Idara, Hawakurupuki popote pale! suala hili la Nchemba ni dogo sana kwa CDM Na mkumbuke yataibuka mengi sio EPA peke yake.
 
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia

Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA

Nakumbuka hata 2007 baada Dr. Slaa alipowataja mafisadi 11 wa nchi hii watu wengi walimpinga na kusema wataenda mahakamani.

Kama hayupo basi Mwiguli ni mmoja wa wezi wa EPA bila Ubishi, kama kuna mtu anabisha aende mahakamani.

Watu na Mvi zao wamenywea, na waliitwa wezi unategemea nini?
 
ohooooo!! huyu Mnyika mbona hivi tena? anakurupuka bila data! Hivi adhabu ya mbunge anayeshindwa kuthibisha huwa ni ipi? maana ni dhahiri shairi kwamba hapa Mnyika atashindwa kuthibitisha.
Akishindwa kuthibitisha Siku 90 anazuiwa kuhudhuria vikao vya bunge
 
Mnyika akishapeleka ushahidi wasiuweke kapuni kama ule wa Lema alipomtuhudi waziri mkuu kusema uwongo bungeni kuhusu mauji ya watu watatu Arusha.
 
Ukweli ni uhuru. Mnyika amezungumza fact tupu subiri evidence tu
 
Ma Psychic ni wehu tu Mkuu. Mimi siwaamini 100%. Wakati mwingine hawatofautiani na wapiga ramli! And they can make terrible mistakes!

Kama vile hujui kuwa madaktari wanakata kichwa badala mguu na wanakata mguu badaala ya kichwa! kwi kwi kwi teh teh teh!
 
Mpaka sasa Mnyika kachanganyikiwa kila akiangalia ushahidi wake anakutana na Jeetu Patel na Maranda ambao kesi zao zipo mahakamani.
 
Kama vile hujui kuwa madaktari wanakata kichwa badala mguu na wanakata mguu badaala ya kichwa! kwi kwi kwi teh teh teh!
Off-course! yule kamanda sasa hivi akienda hospitali kwa swala lolote dogo tu itabidi ag'olewe jino kwa koleo na bila ganzi! That is obvious!
 
Ila wewe unayetetea serikali na mafisadi wanaoiba pesa za walalahoi na kuzileta
huku Ulaya unajiona uko sawa? Ama kweli ni bora unyimwe mali lakini upewe akili.

"HUKU ULAYA" ulitaka tujue upo ulaya?
 
Politics za namna hiyo ya ku provoke just the way you are saying sidhani kama ni sustainable kwa nchi inayoamka kisiasa kama Tanzania. Sidhani kama unamfahamu vizuri Nchemba aidha kama unajua ulisemalo. Siasa ni kama kamali hujui matokeo. You always need to hit the bush na ujitahidi kuwa above the normal human thinking level, play it smart. Sijakusoma vizuri usemapo JJ amepamia kwa kuwa sina hakika wewe pia ni nani. A point of advice to you, hat Nchemba angeingia BOT leo kuna ukweli wa chain of events ambao unaweza tu kumuimplicate Mwigulu, nakushauri hold it tight and stay tuned ujue JJ atawasilisha ushahidi gani. Hiyo ndio political wisdom. Alamsiki
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia

Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA
 
Katika hali ya kuchanganyikiwa na sek seke za Nchemba, Mh. Mnyika alijikuta akijiingiza matatani bure kwa kudai kwamba Nchemba naye ni mhusika wa wizi wa EPA pale BOT. Sasa Nchemba laiingia BOT 2006 na tayari wizi ulikwishatokea, na Mnyika amepewa siku 7 kutoa uthibitisho. Atafanya nini masikini kijana huyu ambaye ni kama kachanganyikiwa kabisa sasa.
Nawashauri wabunge wa CDM kuepuka kushindana na Nchemba, watajikuta pabaya sana. Huyu jamaa ni bingwa wa ku provoke watu. .Achaneni naye, mtaumia

Source: Mnyika amhusisha Nchemba na EPA

Nadhani masikio yako yalikuwa yamekaa ki Nchemba Nchemba, Mnyika, kamanda wa ukweli alitaka kuthibitisha hapo hapo na Yule kilaza M/kiti akambania. Chezea nchemba usichezee Mnyika
 
Nyie wamagamba si mlianzisha vita ya mawe wakati mnaishi kwenye majumba ya vioo, subirini tuwakarabati vilivyo!
Tunaanza na mwiguulu tutamalizia kwa yule mwana haram 'napee'
 
mimi naamini jamii forum inahusisha watu makini sana lkn nashangaa kuona wengine wanakulupuka.siku saba hazijaisha then watu wanakulupuka kusema mnyika amekulupuka hivi unafikili mnyika ni kama wewe unaekulupuk?ngoja sku zifike then utashangaa kama haujaifichwa kama ule wa lema arusha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom