thereitis
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 297
- 41
...Na wanafunzi wa chuo kikuu eeeh? mtajibeba kwa uropokaji na uzandiki mwaka huu. Mmeshikwa pabaya na Nchemba
Huyo mwizi wa EPA amshike nani? yeye ndiye wa kushikwa na kuswekwa rumande. Kama hamtaki kumshughulikia sisi tukiingia madarakani hata kama ni miaka kumi ijayo tutamshughulikia labda ahame nchi. Nchemba hana tofauti na makamba, wote waropokaji tu.