Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Dah! basi hatari, Tanga to Pemba ni pafupi kuliko Unguja to Pemba lakini bahari yake hapo ni kina kirefu kwa hiyo hakikisha wapanda chombo imara dada
Yan umeongea vyema, tanga na pemba karibu sana na mwendo wa unguja to pemba ni sawa utoke tanga kwenda dar hata hizi meli nilipoenda unguja tulipita mkondoni kidogo tu nilijisikia hovyo
 
Yan umeongea vyema, tanga na pemba karibu sana na mwendo wa unguja to pemba ni sawa utoke tanga kwenda dar hata hizi meli nilipoenda unguja tulipita mkondoni kidogo tu nilijisikia hovyo
Labda baadae wataleta vyombo vinavyokidhi mahitaji ya safari ya eneo hilo
 
Back
Top Bottom