Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
MmeniamuliaUsimruhusu dada yangu a risk namna hiyo
MmeniamuliaUsimruhusu dada yangu a risk namna hiyo
Oh oh mesema sirudii jaman ntawanunia nyoteTumia mamlaka yako kamili uliyokabidhiwa na familia yetu.....mdhibiti kwa ajili ya uhai wake
i will do my level best ondoa shakaUsimruhusu dada yangu a risk namna hiyo
Mbona Marangu hapatishi Madame? Mazingira yake ya ukijani na miinuko ya eneo lote kuanzia pale unapoanza kupanda kama waenda chuo cha uwalimu hadi unapita makazi ya Augustine Mrema kwenda hadi geti la kuanzia kupanda kwakweli ni breathtaking view, sasa wewe waogopa nini dada?Niliwah kufika vianzio vya mlima kilimanajro baba yangu alishapanda sema alinitishiaga sana nikaja kupata mwaliko wa kupanda wakanigomea bwana nilikua nikiamka asubuh nakaa nje nauangalia ule mlima yan siku baba ananipeleka huko marangu tukatembea tu nakurud sidhan kama ntakuja panda tena huo mlima hata lile wazo sina
Shukran shemejii will do my level best ondoa shaka
uzuri huyu mtu ni muelewa nikisema sitaki anaelewaTumia mamlaka yako kamili uliyokabidhiwa na familia yetu.....mdhibiti kwa ajili ya uhai wake
Mara had nikapimwe kifua sjui kuna hali mbaya sitaweza panda ili mradi tafrani, niliwah kupata mwaliko wa kupanda mlima home wakakataa haswa mama yan nikafutaga hilo wazo kwammba ipo siku labda nitapanda sina kabisaMbona Marangu hapatishi Madame? Mazingira yake ya ukijani na miinuko ya eneo lote kuanzia pale unapoanza kupanda kama waenda chuo cha uwalimu hadi unapita makazi ya Augustine Mrema kwenda hadi geti la kuanzia kupanda kwakweli ni breathtaking view, sasa wewe waogopa nini dada?
no tunakuambia ukweli safety is everything babeMmeniamulia
me niacha nakujua vizuri tu sema na bro akoOh oh mesema sirudii jaman ntawanunia nyote
Hahahahauzuri huyu mtu ni muelewa nikisema sitaki anaelewa
mmejuwa kumtunza ndugu yenu
Mekuelewa hun plsno tunakuambia ukweli safety is everything babe
Innalillah......lakini kwenye ajali ya Spice ilikua ni yaleyale ya ku risk kupakia chombo kuzidi uwezo wake sasa kwenye majahazi ndio balaa, waiona hatari kabda hata hamjaondokaHahahhaa kaka siku yako ikifika imefika tu kama uliandikiwa kufa kwa ndege yaweza kua mara yako ya kwanza na mwisho kupanda ndege ikaanguka ukafa haiepukiki, wapo watu nawajua waliopotea had leo na majahaz unakumbuka ajali ya spice nilipoteza ndugu mle na had leo maiti zao hazijapatikana
Kwa hiyo kwamba nitapanda tena babe jamani honey dont you trust me?me niacha nakujua vizuri tu sema na bro ako
Na tunamjali sanauzuri huyu mtu ni muelewa nikisema sitaki anaelewa
mmejuwa kumtunza ndugu yenu
Umeona eh kaka hiko ndio kilinifanya nisiende pemba mana niliambiwa huko wnaajazana mno tushashukuru Allah maisha yanaendaInnalillah......lakini kwenye ajali ya Spice ilikua ni yaleyale ya ku risk kupakia chombo kuzidi uwezo wake sasa kwenye majahazi ndio balaa, waiona hatari kabda hata hamjaondoka
Kama hapandi jahazi mruhusu tu shemejime niacha nakujua vizuri tu sema na bro ako
HahahahNa tunamjali sana
Sina hakika kama boti za Bahresa zinafika Pemba angalau hizo zinajali usalamaUmeona eh kaka hiko ndio kilinifanya nisiende pemba mana niliambiwa huko wnaajazana mno tushashukuru Allah maisha yanaenda
that's my womanMekuelewa hun pls
i do trust youKwa hiyo kwamba nitapanda tena babe jamani honey dont you trust me?