Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Mara had nikapimwe kifua sjui kuna hali mbaya sitaweza panda ili mradi tafrani, niliwah kupata mwaliko wa kupanda mlima home wakakataa haswa mama yan nikafutaga hilo wazo kwammba ipo siku labda nitapanda sina kabisa
Kwa ajili ya afya yes, bora u stop
 
Hii ya tanga to pemba ya bakhresa kaka nahisi pia n mbovu sasa hivi
Dah! basi hatari, Tanga to Pemba ni pafupi kuliko Unguja to Pemba lakini bahari yake hapo ni kina kirefu kwa hiyo hakikisha wapanda chombo imara dada
 
Back
Top Bottom