Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Mnasema wanaume ni "never mind"? Hapana, Wanawake wana msaada sana

Mstiri kidogo kwanza subiri atoke kazini akirudi umjulie hali halafu umueleze kusudio lako la kuleta kesi huku pengine atataka myamalize yasifike kwangu
Huyu Archduke huyu huyu??? Me sjawah kukupa kes jana ndo meanza ye anazo kibao had za sms et hua zangu wala zake hazifiki lakini ajabu delivery report inaleta majibu imepokelewa we mtetee tu
 
Huyu Archduke huyu huyu??? Me sjawah kukupa kes jana ndo meanza ye anazo kibao had za sms et hua zangu wala zake hazifiki lakini ajabu delivery report inaleta majibu imepokelewa we mtetee tu
😳 😳 😳 i told you baby mitandao hii itatugombanisha unaona sasa eh??
 
Hahahaa kaka sina hasira wala yan me hunipi muda wa kunisikiliza baadae nikija kukushtakia utasema shtaka halina maana nakufaham
Unajua nataka nimpatie nafasi mwenzio nimpe nasaha za kutosha sasa kabda ya hapo hebu shusha kidogo joto la hasira na wahka
 
Back
Top Bottom