Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
Niko puzzledhuamini??
Niko puzzledhuamini??
Lakini life is about taking risk honeyuache kabisaaaa
kwani nawe ni MHUJUMU uchumi?Wala sina pesa sana dada yangu kipenzi ila si unajua tena wanaume tukutanapo tunapeana maneno ya kujaribu mbinu mbalimbali za kujipanga kiume, ni kama nyie wanawake tu mkutanapo na story zenu za kusadikika
Ila nilichomuelewa rafiki yangu yule alisema wasaidie wapenzi wako kwa kujiangalia yeye na wingi wa alokua nao lakini mimi nina maanisha mpenzi, tena aweza kua mke, unajua kwa mazoea ya kiswahili mke tunamtoa kwenye kundi la mpenzi sijui kwanini dada!?
kama upo ni sawa sababu kila mtu anaamini vile anavyoona inafaaNiko puzzled
hahahaha uko sahihi sana mpenzi naunga mkono 800% je hiyo risk inafaida???Lakini life is about taking risk honey
Kweli kabisa babekama upo ni sawa sababu kila mtu anaamini vile anavyoona inafaa
Kwangu me naona whatever the case ni sawa tu sabab ningejuaje umbali? Ningeuonaje mkondo wa nungwi nausikia tu, ningejuaje watu wanaenda unguja kwa jahaz nilienda kuta historia pale beit al ajaib unguja walikua wakisafiri na jahaz huko mashariki ya mbali na watu walikufa kuzikwa kwao wakatupwa kwenye maji ije kua mie hapo tu haha ningekufa ingekua faradhi yangu imefika nsingeepukahahahaha uko sahihi sana mpenzi naunga mkono 800% je hiyo risk inafaida???
ok sasa kwanini hutaki kupanda tena?? while life is about taking riskKwangu me naona whatever the case ni sawa tu sabab ningejuaje umbali? Ningeuonaje mkondo wa nungwi nausikia tu, ningejuaje watu wanaenda unguja kwa jahaz nilienda kuta historia pale beit al ajaib unguja walikua wakisafiri na jahaz huko mashariki ya mbali na watu walikufa kuzikwa kwao wakatupwa kwenye maji ije kua mie hapo tu haha ningekufa ingekua faradhi yangu imefika nsingeepuka
Nilichotaka kukifahan nimeshakifaham na nimeshaona klivyo so sion haja ya kurudia tena labda njbadili njia, plan angu niende pemba nikaone karafuuok sasa kwanini hutaki kupanda tena?? while life is about taking risk
Umempa sifa inayomstahili hasaaamwanamke akipevuka huwa na akili njema kabisa, nawe huwa unajielewa sana rafiki
🙁🙁😱, naendelea kutafiti ili kuthibitisha hilo mkuuMzee baba hizo ni porojo ni wanawake wachache wanaweza kukusaidia maana wao akilini mwao ni kudanga tu aka mapenzi biashara usipokuwa na pesa wewe ni mzigo tiyari
ok niseme tu sahau kuhusu jahaziNilichotaka kukifahan nimeshakifaham na nimeshaona klivyo so sion haja ya kurudia tena labda njbadili njia, plan angu niende pemba nikaone karafuu
Wapenda sana site seeing eeh? Kutembea raha sanaNilichotaka kukifahan nimeshakifaham na nimeshaona klivyo so sion haja ya kurudia tena labda njbadili njia, plan angu niende pemba nikaone karafuu
Not to that extent MadameLakini life is about taking risk honey
Ukimaanisha?? Kama nitajaaliwa kwenda pemba sitak this time iwe majiok niseme tu sahau kuhusu jahazi
Hahahha kua mezidisha ehNot to that extent Madame
😀😀😀ok sasa kwanini hutaki kupanda tena?? while life is about taking risk
unanambia au unaniuliza??Ukimaanisha?? Kama nitajaaliwa kwenda pemba sitak this time iwe maji