Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,190
- 34,526
Nifanyeje sassUsifanye hivyo
Nifanyeje sassUsifanye hivyo
sasa yeye kafanyaje?Wewe na shemejio sio we peke yako siji huko
Wanasema ulamaa Subra mina Rahmani haraka mina shaitwaniUnaona sasa? Me sina wahka wala shida yoyote we haya mtafte tu me naona hamtaki kunipatiliza
Subira kidogosasa yeye kafanyaje?
Hanisikilizi hanipi muda wa kunisikia anakupa ww tusasa yeye kafanyaje?
Sina neno mimi kakaWanasema ulamaa Subra mina Rahmani haraka mina shaitwani
unataka awe upande wako?Hanisikilizi hanipi muda wa kunisikia anakupa ww tu
Asiegemee upande wowoteunataka awe upande wako?
ndo hivi anafanya sasa babeAsiegemee upande wowote
Anaegemea kwako wwndo hivi anafanya sasa babe
J
Aliponichosha ni pale aliponitajia majina ya marafiki zetu kadhaa wanaume wenzetu kauli alizoambiwa kua walikua wanazitoa dhidi yake baada ya yeye kupata matatizo. Wengine walikua wanasema akome sasa anajifanya anazo, wengine walitamani afungwe kabisa eti mademu zao walikuwa wanamshobokea, na wapo waliofurahia tu yeye kupata matatizo. Mimi nathibitisha kuwasikia jamaa tena aliokua nao karibu kwenye kula bata wakimsema kwa ubaya
Umenena vizuri sanaDuuh! Haya kama mnazo pesa Mfanyage tu japokuwa naiona haina tofauti na kutia mkono kizani hiyoo.
Japokuwa kwa mbaali nawaza ni Ke wangapi ambao wana akili za kuomba kufunguliwa biashara au hata kuwa na mawazo hayo hasa wakiwa na Me wenye kuwapa pesa ya maana zaidi ya kufanya mambo ya kujionyesha onyesha ikiwemo kuvaa na vitu vingine visivyo na faida.
usipeleke kesi basiAnaegemea kwako ww
We umesema me apa me mjeuriusipeleke kesi basi
uongo??We umesema me apa me mjeuri
Hahahahhahahahahahahhahaa umenikamata pabayauongo??