Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,664
- 19,385
- Thread starter
- #221
Mkuu mwenyewe si umetoa ushuhuda kule kua rafiki zako mlokua mnakula bata pamoja wamekukimbia na kukucheka baada ya hali kubadilika?Mmmhhh!!! Mkuu hii ngumu kumeza sana kwangu hawana maana hawa viumbe, bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi utakuja liwa na Simba...Ukichalala wanakukimbia hao wanaenda kwa bwana mwenye hela
Wanawake wapo tofauti kidogo, kama ulimsaidia hasaa hata kama mtakua hampo pamoja kimapenzi kwa wakati huo anaweza kukukumbuka hata kwa moral support tu kama hawezi kukusaidia materially lakini marafiki zako ambao ni wanaume wenzako wanaweza kabisa kukucheka hata kama uliwahi kuwasaidia......anyways huo ni mtizamo wangu na uzoefu wangu kwa watu wachache waliokutana na changamoto za kupanda na kushuka kimaisha