Mnapata wapi ujasiri wa kuchumbiana na wanawake wenye kope na kucha bandia?

Baba Kisarii

JF-Expert Member
May 7, 2024
432
881
Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu.

NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI huyo ni mchawi mwana wa ibilisi.

Hao wadada ni wachawi na washirikina wazoefu waliojaa kiburi. Hawakubaliani na kile ambacho Mungu alifanya katika miili yao siku alipo wauuumba.

Bila shaka lengo la hao wadada ni kuwashawishi wanaume wawakubali kwamba wao ni wazuri sana ila kiukweli sio wazuri na wanatisha sana.


Mwanaume mwenzangu huwa unapata wapi ujasiri wa kudate na wanawake wa hivyo?
 

Attachments

  • Screenshot_20240509-124050.png
    Screenshot_20240509-124050.png
    567.5 KB · Views: 5
  • Screenshot_20240509-123713.png
    Screenshot_20240509-123713.png
    383.9 KB · Views: 4
Ni fahari sana kulifuga LISHUMILETA katika nyumba.

Hata kuosha vyombo hawezi ananata tu na kusubiri kuzagamuliwa mida ya night.

Huyu sio mke ni SHUMILETA ambaye kazi yake ni kugawa uroda na kuburudisha. Ni mtamu mno.

Ukitaka MKE unaenda kuchukua MWANAMKE. Wapo wengi na ni wazuri mno.

Kuna tofauti kati ya MKE na SHUMILETA. Lazima uelewe.

MKE ni kwa ajili ya kutunza familia, wakati SHUMILETA ni kwa ajili ya kugawa uroda.

Cc Lamomy Depal
 
Ni fahari sana kulifuga LISHUMILETA katika nyumba.

Hata kuosha vyombo hawezi ananata tu na kusubiri kuzagamuliwa mida ya night.

Huyu sio mke ni SHUMILETA ambaye kazi yake ni kugawa uroda na kuburudisha. Ni mtamu mno.

Ukitaka MKE unaenda kuchukua MWANAMKE. Wapo wengi na ni wazuri mno.

Kuna tofauti kati ya MKE na SHUMILETA. Lazima uelewe.

MKE ni kwa ajili ya kutunza familia, wakati SHUMILETA ni kwa ajili ya kugawa uroda.

Cc Lamomy Depal
Njoo tule maembe
 
Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu.

NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI huyo ni mchawi mwana wa ibilisi.

Hao wadada ni wachawi na washirikina wazoefu waliojaa kiburi. Hawakubaliani na kile ambacho Mungu alifanya katika miili yao siku alipo wauuumba.

Bila shaka lengo la hao wadada ni kuwashawishi wanaume wawakubali kwamba wao ni wazuri sana ila kiukweli sio wazuri na wanatisha sana.


Mwanaume mwenzangu huwa unapata wapi ujasiri wa kudate na wanawake wa hivyo?
Ukiona la hivyo hujaoa mwanamke Bali umeoa jini. Siku ukifukizwa kazi, au ukistaafu na ume opt kurudi kuendelea na Maisha ya kijijini ndio utagundua furushi ulilolibeba na kuliita mke
 
Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu.

NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI huyo ni mchawi mwana wa ibilisi.

Hao wadada ni wachawi na washirikina wazoefu waliojaa kiburi. Hawakubaliani na kile ambacho Mungu alifanya katika miili yao siku alipo wauuumba.

Bila shaka lengo la hao wadada ni kuwashawishi wanaume wawakubali kwamba wao ni wazuri sana ila kiukweli sio wazuri na wanatisha sana.


Mwanaume mwenzangu huwa unapata wapi ujasiri wa kudate na wanawake wa hivyo?
Ngoja kimbunga Hidaya kije kuwaumbua
 
Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu.

NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI huyo ni mchawi mwana wa ibilisi.

Hao wadada ni wachawi na washirikina wazoefu waliojaa kiburi. Hawakubaliani na kile ambacho Mungu alifanya katika miili yao siku alipo wauuumba.

Bila shaka lengo la hao wadada ni kuwashawishi wanaume wawakubali kwamba wao ni wazuri sana ila kiukweli sio wazuri na wanatisha sana.


Mwanaume mwenzangu huwa unapata wapi ujasiri wa kudate na wanawake wa hivyo?
Hao huwa tunakula tu, siyo kuoa
 
Back
Top Bottom