Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 432
- 881
Nijuavyo mimi wanawake wote wajibandikao kope na kucha bandia huwa hawamkubali aliyewaumba, ni wapinzani wa wazi wazi wapingao uumbaji wa Mungu.
NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI huyo ni mchawi mwana wa ibilisi.
Hao wadada ni wachawi na washirikina wazoefu waliojaa kiburi. Hawakubaliani na kile ambacho Mungu alifanya katika miili yao siku alipo wauuumba.
Bila shaka lengo la hao wadada ni kuwashawishi wanaume wawakubali kwamba wao ni wazuri sana ila kiukweli sio wazuri na wanatisha sana.
Mwanaume mwenzangu huwa unapata wapi ujasiri wa kudate na wanawake wa hivyo?
NB mtu yeyote anayepingana na MUNGU MUUMBAJI huyo ni mchawi mwana wa ibilisi.
Hao wadada ni wachawi na washirikina wazoefu waliojaa kiburi. Hawakubaliani na kile ambacho Mungu alifanya katika miili yao siku alipo wauuumba.
Bila shaka lengo la hao wadada ni kuwashawishi wanaume wawakubali kwamba wao ni wazuri sana ila kiukweli sio wazuri na wanatisha sana.
Mwanaume mwenzangu huwa unapata wapi ujasiri wa kudate na wanawake wa hivyo?