Mnaowaita Mabeberu wamekohoa sasa

Wakuuu polisi wamempigia tundu lisu kampeni pasipo kujua, yani kahangaika na mabarua Mara kumwiiita maara kusema akaripot Polis Moshi wamejikuta kuwa wanachokifanya ni kumpigia kampeni pasipo kujua
 
Polisi wamemuomba msamaha lisu na kumuomba aendelee na ratiba zake za kampeni na kumtakia ushindi mnono, ni baada Ya kujikutaka wakifundishwa sheria na lisu Kwa kuwaelekeza namna sheria inavyomtaka Polis kufanya Wakati Wa wito wa mtuhumiwa, lisu amewambia kupitia ukurasa wake kuwa jina waliloandika sio lake, pili wamemwambia kuwa sheria inamtaka mtuhumiwa kuitwa pale alipotenda kosa yani eneo alilotenda kosa Kwa mujibu wa sheria, lisu pia ameendelea kuwafundisha polisi kuwa barua ya wito inamtaka polis kuandika Kwa Yule anaetuhumiwa na si Kwa rafiki Au kwamfanyakaz mwenzake, pia lisu ameendelea kuwaelekeza polis kuwa Hakuna chana cha siasa kinachoitwa hilo jina la chana cha democracia na Maendeleo, amesema hicho chama hakipo Tanzania, vile vile lisu amewataka polis wawe wanamuomba anawaelekeza sheria Kabla Ya kuharibu, baada Ya maelekezo hayo polisi wameamua kuita mkutano na waandishi Kwa kumuomba lisu msamaha na kumtakia ushindi wa kishindo katika Uchaguzi wa tarehe 28 ambapo pia polis imewaomba watanzania kumchagua kiongozi anaejua sheria na haki zake kwani huyo atasimamia sheria za nchi na haki Ya kila mtanzania
 
Hata chupi ulovaa ni mtumba kutoka Huko hata Arvs unazotumia zinatoka huko ,chandarua anachotumia babaako kinatoka huko ya we we ni kima lazima uwe mstaarabu hutaki utaoneshwa cha moto
Mkuu kwani hivyo vitu ulivyovitaja wanatoa bure? Si unavinunua. Hiyo ni biashara (Import/Export). Tanzania ni nchi huru na kamwe hatuwezi kuyumbishwa na beberu.
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua.

Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua.

Marekani ilipaswa kuhitimisha kwa kusema, “Do as I say, not as I do”! Kipande hiki ni muhimu kwa sababu siku hizi hakuna wanachokifanya wao ambacho ni mfano wa kuigwa na nchi nyingine!
 
Mishale inatupwa kwa hii serekali dhalimu kutoka kila kona ya pembe ya dunia!View attachment 1587814

Historically, almost hakuna mtu duniani aliyewahi kupata backing ya mzungu akanufaisha nchi yake. Mbaya zaidi, love affair ya aina hiyo mara nyingi huishia kwa kibaraka kubadilishiwa kibao na kuingizwa kwenye kundi la maghaidi. Osama, Sadam, Muamar, Mubarak, Mobutu na Savimbi (just to name a few) wamewahi kuwa washirika wa wazungu, lakini kibao kiliwabadilikia. Baadhi yao hata nchi zao leo hii zimekuwa completely fucked up!
 
Wakuu, nimeona mjadala wa baraza la Congress la Marekani likiijadili Tanzania Jana na hapo hapo Leo ubaloz wa Tanzania umetoa statement ya kuonya wale woote watakaokuwa chanzo cha vurugu na kuharibu Uchaguzi.

Wakuu wale ni MABEBERU tujitahid Sana kukwepa uvunjivu wa haki wale wenzetu ukisikiliza Kwa makini utagundua kuwa wanafuatilia kila kinachopangwa na kinachofanyika na wanadata zooote kuunganisha na hii statement ya ubalozi tunatakiwa tujiangalie kuna mipango inapangwa Juu Ya wale watakao kuwa chanzo cha kuvuruga Uchaguzi Kwa kunyima haki za watu, angalia ile statements Ya Leo imesema Kwa kushirikiana na nchi za kidemocrasia watafikiria hatua stahiki, hilo neno ni kubwa na linaonesha kuwa kuna mipango mikubwa inapangwa na nchi nyingi za ulaya kutaka kumwadibu yoyote atakaekuwa chanzo cha kunyima haki Au kupora haki najua wapo watakaosema ah wapi ah wapi Lakini kumbuka kuwa, hata hizo Data za Uchaguzi mlizoziweka kwenye hiyo laptop yenu wanaziona na wao ndio wanaokurusu usiangalie na kuziedit

Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake

Hivi mnajua hilo neno walilosema kuwa kwakushirikiana na nchi zenye democracy mnajua maaana yake? Wameishajipanga kumwadibu yoyote atakaepora haki, hivi nyie mnaijua ile kampuni Ya kisheria inayomsimamia lisu? Ile inamtandao kwenye nchi zote za ulaya na inaweza kushawishi chochote kwenye nchi yoyote na nyie hamjui kudhungu, wakiongea na watu wenye ushawishi Kwenye hizo nchi mtashangaaa mambo yanakuwa mambo haya endeleeni kusema kuwa msiponichagua.

Endeleeeni kusema kuwa ole wenu msiponichagua, wakuu msicheze na Yule Robert wa ile kampuni Ya kisheria Ya kimataifa, Yule ana Wateja wake ambao ni watoa maaamuz huko ulaya, ana Wateja wake ambao ni wajumbe kwenye vyombo vya maaamuzi huko ulaya na Marekani atawashawishi watapendekeza Halafu serikali zao zitabaki na issue ya utekelezaji huku mtaanza kukumbiana mmoja baada Ya mwingne mwisho mnajikuta mnaanza nilikuwa natekeleza sheria, Mara niliamlishwa na wakubwa Wangu, na mkumbuke kuwa wale wanaweza kuamua wakasema sisi tunamtambua fulani ndio rais wa Tanzania haya mtaenda wapi? Wakisema hivyo mtaenda wapi? Maanaa watakachofanya ni kukuondoa wewe Au kuelekeza misaada yoote Kwa huyo wanaemtambua.
Hiyo mishale wanayorusha ni butu haina madhara yoyote ..... Mzee baba hatikiswi nachapa kazi huyo mdoli wao soon anarudi ubeligiji hatun wac na mishale butu
 
Hili nalo ni geni kwa Marekani kuzungumzia chaguzi za Tanzania?
Chaguzi zote walifanya hivyo na wataendelea kufanya hivyo. Mwisho Wa siku watanzania ndiyo waamuzi na maisha yataendelea.
 
PELEKA UJINGA WAKO HUKO KWA KINA AMSTERDAM.
HII OKTOBA28 TUKO NA JOHN POMBE MAGUFULI 5INGINE.
 
Pesa za hisani lakini ccm wanasema pesa za ndani.
Inamaana tunahitaji mkaguzi huru ili kunusuru pesa zetu za ndani, zinaibwa tunaonyeshwa barabara zinazojengwa na wahisani tunaambiwa ccm inatekeleza au ndio chanzo cha mapato cha uwanja wa chato?!
Serekali ya CCM wakiwa majukwaani wanawaita wazungu kuwa ni mabeberu ila wakiwa katika ofisi za serekali wanawalamba wazungu matako ili kuendesha serekali!
 
Financial support to home-grown governments mara nyingi sio tatizo. Tatizo ni backing yenye lengo la kuweka au kulinda puppets madarakani!
Unaweza kuthibitisha beyond the reasonable doubt kuwa kuna mtu ambae ni puppet?au ni porojo tu za maji taka za kufurahisha magenge ya JF?
 
Nimeona Tune limejitoa kumsimamisha kampeni Lissu badala yake wamewatupia mpira kamati ya maadili
 
Unaweza kuthibitisha beyond the reasonable doubt kuwa kuna mtu ambae ni puppet?au ni porojo tu za maji taka za kufurahisha magenge ya JF?

Mtu anayeshirikiana na foreign actors kuhujumu taifa lake anastahili kuitwa jina gani jingine?
 
Nimeona Tune limejitoa kumsimamisha kampeni Lissu badala yake wamewatupia mpira kamati ya maadili

Kwa maoni yangu, kama Kamati ya Maadili haijafanya hivyo itakanusha. Kumbuka, super majority ya wajumbe wa hiyo kamati ni wawakilishi kutoka vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi, kikiwemo Chadema!
 
aaaaaa, kinuke tu, yaani nchi nzima inakosa furaha kwa ajili ya mtu mmoja na kakikundi kake.
 
aaaaaa, kinuke tu, yaani nchi nzima inakosa furaha kwa ajili ya mtu mmoja na kakikundi kake.

Hapa duniani, hakuna aliyewahi kutenda haki na wema akaonekana kwa kila mtu katika taswira hiyo. Hata Jesus Christ, the most righteous man, hakuwahi kufanya chochote kilichomfurahisha kila mtu. Kama tujuavyo, aliishia kusulubiwa msalabani!
 
Mkiambiwa kuwa lisu ni mpango wa MUNGU muwe mnaelewa, kila mbabe na mbabe wake
hakuna jipya miaka yote huwa na mikwara,afadhali mwaka huu,kuna uchaguzi balozi wa marekani alikua anatembea na teksi ili tu asijulikane kwamba anapigia chapuo upinzani
Bahati nzuri ni kwamba congress haipigi kura wanabweka tu,kuitoa ccm kunahitaji upinzani thabiti sio hawa wasanii wanaotangaza kuungana mkono wakati muda umeshapita na karatasi zimeshachapwa
 
Back
Top Bottom