Mnaowaita Mabeberu wamekohoa sasa

Mnaowaita Mabeberu wamekohoa sasa

Wale wanaopenda kusema tuweni Wazalendo kwa Nchi Yetu. Safari hii mtakuwa wenyewe. Kama mnataka tuwe pamoja basi Tendeni Haki. Na Haki hiyo ionekane.

Tuanzeni kuonyesha Uzalendo wetu kwa kumkemea Bw Yule Mbaguzi. Aliyepanda mbegu ya chuki na visasi baina ya Vyama vya Siasa, Chuki kati ya Vyombo vya Dola na Viongozi wa Upinzani. Kati ya Serikali na Wananchi.
Yuyule aliyejenga Ubungo flyover? Au yupi huyo?
 
Hizo ni porojo tu!Mambo ambayo hayana ushahidi ni porojo na majungu.Kama kuna mtu anatumika na wazungu kuangamiza taifa tutahitaji ushahidi,tofauti na hapo hizo zinakuwa ni siasa za maji taka,porojo,majungu na kupotezeana muda na huu ni ujinga

Do you follow him blindly? Nikushauri ufanye homework yako kwanza kabla ya kusimama na Lissu. Obviously, usingekuwa blind follower ungekuwa unajua juhudi zake za kulihujumu taifa letu. A body of compelling evidence is readily available in the public domain!
 
Do you follow him blindly? Nikushauri ufanye homework yako kwanza kabla ya kusimama na Lissu. Obviously, usingekuwa blind follower ungekuwa unajua juhudi zake za kulihujumu taifa letu. A body of compelling evidence is readily available in the public domain!
Fact's
 
Do you follow him blindly? Nikushauri ufanye homework yako kwanza kabla ya kusimama na Lissu. Obviously, usingekuwa blind follower ungekuwa unajua juhudi zake za kulihujumu taifa letu. A body of compelling evidence is readily available in the public domain!

Zote hizo ni porojo tu!Unaelewa kuwa kushindwa kwako kunipa ushahidi wa tuhuma unazoongea dhidi ya Lissu ni uthibitisho kuwa unachoongea ni porojo,majungu na siasa za maji taka?
 
Fact ipi?Unaelewa maana ya fact?Unaelewa kuwa fact ni body of evidences?Kipi hapo ni body of evidences?Porojo unaziita ni facts?
Uwanja wa ndege chato ni porojo? Mishahara kutopandishwa kwa miaka mitano ni porojo ? Kikokotoo kuanza 2021 ni porojo? Pole
 
Screenshot_2020-10-12-08-19-15.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom