Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,840
- 628
njaa mwanaharamu!
Kweli njaa mwanaharamu! Si Dokii huyu ninayemjua au ni photocopy yake!!
njaa mwanaharamu!
atapewa ubunge/ukuu wa wilaya/ mkoa muda si mrefu
Njaa saa nyingine inaweza ikukuumbua kama utakuwa huna msimamo!!!
Watamtumia kama walivyomfanya Nakaya
Halafu inaelekea wameshamharibu tayari, hebu angalia mkao wake ulivyo>>>>>
![]()
Aaah!! binafsi sioni jipya kwake coz naona matendo yake yanafanana na akili yake wacha 2 wamtumie kama ndomu aisee.
Kweli njaa mwanaharamu! Si Dokii huyu ninayemjua au ni photocopy yake!!
Kwa hiyo kwa kumuona igunga ndo munahukumu kuwa si mlokole?, kipimo chenu cha ulokole/si ulokole ni kipi?, igunga hakuna walokole?, CCM hakuna walokole?!, kwenye jukwaa la siasa hakuna waliookoka?, nielewesheni ama sivyo kaeni kimya kwani nyie hamuna mizani ya imani.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us