Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Hayo ni majukumu ya Mwigulu Mchemba. Si umeona Igunga anavyocharaza makada?Halafu inaelekea wameshamharibu tayari, hebu angalia mkao wake ulivyo>>>>>
Hayo ni majukumu ya Mwigulu Mchemba. Si umeona Igunga anavyocharaza makada?Halafu inaelekea wameshamharibu tayari, hebu angalia mkao wake ulivyo>>>>>
ndo sisiemu damu au maana amejikoki ile ile, kweli njaa mbayaHalafu inaelekea wameshamharibu tayari, hebu angalia mkao wake ulivyo>>>>>
atapewa ubunge/ukuu wa wilaya/ mkoa muda si mrefu
njaa ndio inawasumbua hawa ,nakaaya nadhani anajuta
Mnamkumbuka huyu dada!!
c alidai kaokoka vp mbona karudi kivingine?
au muda wa ulokole umeisha?
View attachment 37609
njaa mwanaharamu!
Mwigulu bana badala ya kwenda kufanya yaliyompeleka yeye anaenda kustarehe tena muda wa kazi,kwa viongozi wa sampuli hii sishangai Tanzania inavyoporomoka kimaendeleo,viongozi wa aina ya akina Mwigulu ndio hao tulionao,wengine ni mawaziri,makatibu wakuu,wakurugenzi orodha ni ndefu,wengi wao wakati wa kazi wako kwenye starehe,sasa hapo ni Igunga tu je na huko kwingine na je wakienda nchi za ng'ambo ambako hakuna anayewajua si inakuwa balaaHayo ni majukumu ya Mwigulu Mchemba. Si umeona Igunga anavyocharaza makada?
Mnamkumbuka huyu dada!!
c alidai kaokoka vp mbona karudi kivingine?
au muda wa ulokole umeisha?
View attachment 37609