nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,397
Ha ha ha basi uzee unakupiga vibaya mno... 😀
Na wewe ni reserve namba ngapi...kwenye hii team 'no free P'?
Maana wasijeleta za kichina kutumia kufanana kuzuga...
Ha ha ha basi uzee unakupiga vibaya mno... 😀
KIGEZO CHA KUALIKWA HOT TALK UWE TAYARI KUWEKA ALL CARDS ON THE TABLE!!!!!!!!! Kamamnafiki huqualfy kualikwaaa! Wala hutoalikwaaa! lengo la shoo ni kuwapa watu chansi TO BE THEMSELVES DESPITE UNAFIKI NAFIKI WOTE WA JF!
Swali litakuwepo na litajibiwa HONESTLY nsababu mgeni rasmi lazima AWE HONEST PERSON!
:llama::llama::llama::llama:
lara 1 already woozy and funky...just cool off
your natural persona's aint that much worse...
aisee mi ndiyo naiona sasa hivi.. miss neddy na yeye kwa mambo ya kimya kimya hajambo..
real angelita kahendle hii kitu kwa uzuri kabisa..
japo sijaweza kufuatilia page zote
Nimecheka sana.....dah
Mie sihitaji hata kualikwa ulionifanyia kipindi kile inatosha.....,
Huwa inakua siku gani next time nifatilie kuanzia mwanzo
Niko powa Mkuu, mzima wewe? Msalimie best yangu.
Ha ha ha basi uzee unakupiga vibaya mno... 😀
Mm ndo nimeiona leo kwa Mara ya kwanza , nasikia ijumaa.....
Watafunguka tu , hot talk is for hot individuals..... Kwani kuna mtu anampatia pumzi mwenzake humu.
MLIVOKUWA MNA MSULUBISHA ANGELITA SIO UGOMVI ULEEEEEEEE? Aaaaaaaaahhhhhh! Zile hoja tuuuuuuu eeeeeeeeeh! MKUKI KWA ANGELITA KWA WENGINE MCHUNGUUUUUUUUU!
Mtoto wa watu kajikaza sanaaaaa, toka juzi mnamtukana DOUBLE DOUBLE TOKA KILA UPANDE! MBONA HUKUSEMA SIO VIZURI KUMNYANYASA MTOTO TENA WAMEZIDI KARIBIA 20 YRS? ULIKUWA WAPI?
SAIVI ANAWAVUA NGUA WATU WAZIMA HAPA KWA SUPPORT YA WATU WALIOCHUKIZWA NDO MNALETA USULUHISHI EEEEEEEEH! Acheni kupendelea!
Na wewe ni reserve namba ngapi...kwenye hii team 'no free P'?
Maana wasijeleta za kichina kutumia kufanana kuzuga...
Atazipata..
Hivi anajua how much good ulivyo?
Kucheka kunaruhusiwa sana...
Ila kujiunga na timu yeyote inahitaji kufikiri kwanza...
Usije jikuta kwenye wrong team kuchomoka unashindwa unabaki kutukana...
Hakuna cha reserve hapa, we unoko unakusumbua tu!! 😱
Nawe Kuwa na usiku mzuri.....Hakuna kila mtu anaishi maisha yake.
Usiku mwema doc.... nitaendelea kusoma Kesho.. I hope mode hawataiondoa hii kama ilivyoondolewa nyingine.
Cool off for what!!
Hivi inaanzaje dume anabishana kwa sauti kuubwa na jike mbele ya kadamnasi?