MMU hot talk

MMU hot talk

Hahahahaaaaaaaaa..... Haya maisha tu kila Mtu ana siri na ukweli wake moyoni, ya kwako hayawezi kufanana na yule kila mtu anasitaili yake yakuyaendesha.

Usitake kulazimisha kumbadili mtu mtazamo kisa tu wewe unaamini kitu Fulani.
Kubadilika ama kuacha ni maamuzi ya muhusika mwenyewe kuridhia kwamba sasa sitaki kufanya au kitu Fulani sikitaki.

Usitumie nguvu nyingi kutaka kusikika ila naimani kuna watu comment zako zimewasaidia ingawa sina hakika ulivyoviandika hapa na kiuhalisia uko hivyo au nyuma ya keyboard tu.

Hapo kwenye bold kwa tunaojua saikolojia ni dalili nzuri...
Umeanza ku admire tabia inayokubalika na jamii...

Mwanzo mzuri...uta change tu
 
Naona mada imekuwa personal attacks.
Kimsingi angelita anaishi maisha ya umri wake ila si sahihi.
Na so called granny mumuwache kama kukuambia mmeshammwambia kasisikia ikifika kipindi mwenyewe ataamua atatulia na vizuri kuna sehemu alisema itafika kipindi Mungu atampa wa kwake ataolewa.
Hizo personal attacks sijazipenda.
Umenena jambo jema sana
 
Hahahahaaaaaaaaa..... Haya maisha tu kila Mtu ana siri na ukweli wake moyoni, ya kwako hayawezi kufanana na yule kila mtu anasitaili yake yakuyaendesha.

Usitake kulazimisha kumbadili mtu mtazamo kisa tu wewe unaamini kitu Fulani.
Kubadilika ama kuacha ni maamuzi ya muhusika mwenyewe kuridhia kwamba sasa sitaki kufanya au kitu Fulani sikitaki.

Usitumie nguvu nyingi kutaka kusikika ila naimani kuna watu comment zako zimewasaidia ingawa sina hakika ulivyoviandika hapa na kiuhalisia uko hivyo au nyuma ya keyboard tu.

HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! NAONA UNAONGEA NA HER MAJESTY ROYAL HIGHNESS!

Take a chill pill, SAVE THE BEST FOR LAST!

Nchukua POOOOOO, NIARUDI BADAE FRONT LINE YA BATTLE FIELD! REMEMBER FOCUS AND GET ME THOSE BIG REPUBLICANS!

And show a little repsct to your GRANNYS OPPPPPPSSSSSSS! MEANT ELDERS! Its TRADITIONALLY REQUIRED OF YOU remember! SO LONG KIDDO! SO LONG!
 
Watu wazima mnataka MUMSULUBISHE 21 YR OLD? REALLY! Somebody had to do something!

Vita?really?...hii ni virtual world dada yangu...unajibishana na ghost tu,yaanini u-catch feelings mpaka uanze vita,matusi,nk?....ungezijibu hoja zao ila wewe una catch feelings kabisa kama vita live,jeeezuz
 
Hapo kwenye bold kwa tunaojua saikolojia ni dalili nzuri...
Umeanza ku admire tabia inayokubalika na jamii...

Mwanzo mzuri...uta change tu

Hahahaaaaaaaa....nacheka tena nahisi hujaelewa kwanini nimesema hayo maneno ya mwisho yasome tena uelewe maana yake, mimi bado sana maneno ya mtu hayawezi kunibadili mtizamo, huwa nasubiri wakati useme wakati sahihi ambao jambo Fulani wakati umefika wakulitenda.

Afadhari mie na ID yangu fake ila sio fake ingawa natambua watu kibao humu wananijua ndani na nje ya JF.
 
ile ilikuwa QUOTE manake inamjibu MTU SPECIFIC! Afu ligi uliinza vizuri saivi umeshuka kiwango! Ngoja nimuanze Eiyer maana sio mwepesi yule, nilikuwa namlia mark time!

Karibu coffee ....... :coffee::coffee::coffee:
 
Afu tumesahau kuuliza umri wa 'shemejiii'...

Te te te te

Ukute anambeba mtu kama Capten...chezea kuendekeza dhiki weye
 
Hapo kwenye bold naona una justify maovu...
Hayo ndio maisha ya 20s?
We have been there too...
Sikubali kuwa 20s wote ni vimada...
Watake radhi

Kujirusha tumejirusha sana..
Lakini si na waume za watu...
Na hili sasa mnataka kulifanya kuwa ni halali...
Wanafunzi wa chuo kushindania wanaume za watu...

Nakubali tulisoma na waliodata...
Lakini hawakuwa wengi na walikuwa wanaonekana ni kituko...
These days mnataka kufanya kuwa ni utaratibu wa maisha...

Noooo...lazima tukemee
Afanaaleki
 
Mmmmnnnhhhh

Wajulika weye..
Haya usije amisha majeshi kwa members tu humu...
Bado familia zao zinawaitaji...

Hahahaaaaaaaa....nacheka tena nahisi hujaelewa kwanini nimesema hayo maneno ya mwisho yasome tena uelewe maana yake, mimi bado sana maneno ya mtu hayawezi kunibadili mtizamo, huwa nasubiri wakati useme wakati sahihi ambao jambo Fulani wakati umefika wakulitenda.

Afadhari mie na ID yangu fake ila sio fake ingawa natambua watu kibao humu wananijua ndani na nje ya JF.
 
Hapo kwenye bold naona una justify maovu...
Hayo ndio maisha ya 20s?
We have been there too...
Sikubali kuwa 20s wote ni vimada...
Watake radhi

Kujirusha tumejirusha sana..
Lakini si na waume za watu...
Na hili sasa mnataka kulifanya kuwa ni halali...
Wanafunzi wa chuo kushindania wanaume za watu...

Nakubali tulisoma na waliodata...
Lakini hawakuwa wengi na walikuwa wanaonekana ni kituko...
These days mnataka kufanya kuwa ni utaratibu wa maisha...

Noooo...lazima tukemee

Yaaani mimi sielewi kabisaaaa.
Angelita ana 23 ni mkubwa sana anajua baya na zuri na hata huko chuo mtaani atakuwa keshaambiwa weww si wa kwanza ila uamuzi ni wake kachagua maisha hayo.
Haya utamfanyaje?utamchapa viboko?
Umeshakemeeea weeee hajakusikia.
Unafanyeje sasa?maisha yenyewe haya unaanza kupigizana kelele na watu hata huwajui kisa anatembea mume wa mtu.
Hao wote mume wa mtu na angelita ni watu wazima wakiamua wataachana.
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA! NAONA UNAONGEA NA HER MAJESTY ROYAL HIGHNESS!

Take a chill pill, SAVE THE BEST FOR LAST!

Nchukua POOOOOO, NIARUDI BADAE FRONT LINE YA BATTLE FIELD! REMEMBER FOCUS AND GET ME THOSE BIG REPUBLICANS!

And show a little repsct to your GRANNYS OPPPPPPSSSSSSS! MEANT ELDERS! Its TRADITIONALLY REQUIRED OF YOU remember! SO LONG KIDDO! SO LONG!

hahhahah...out of ammunition....no handgranades,empty guncases...and its just a warm up battle.....sijaona mjeshi kamili hapa with the self proclaimed ''#teamnofreep".... sungusungu tupu....anyway..there is a room for mediation..........to make the world a better place ...but not a living hell like what you just preach and ''endorse''
 
Mmmmnnnhhhh

Wajulika weye..
Haya usije amisha majeshi kwa members tu humu...
Bado familia zao zinawaitaji...

Hahahahaaaaa..... Kuliko unavyofikiri, ungekuwa na Mume kweli ningeanza naye wakwako aaaaaargh bahati mbaya huna.
 
arent you forgetting somethin??????????? MY ID IS FAKE TOOOOOOO! ITS A FAKE WAR! BUT WAR IS WAR! And i am not planning on losing this one too! I WOULD LOVE TO KEEP UP THE CHATTIN BUT I HAVE PRESSING MATTERS TO ATTEND! Cio!

War ni war ila kunazo worth it na zingine hazi worth it....poa,poa,see u later then
 
Hahahahaaaaa..... Kuliko unavyofikiri, ungekuwa na Mume kweli ningeanza naye wakwako aaaaaargh bahati mbaya huna.
Mdogo wangu umenchekesha kweli ungeanza na mume wake lol....
Ila na wewe ufanye umuache mbaba/mkaka wa watu wewe ndo wa kumuacha maana hao married men hawajuagi kuacha....
 
Ha ha ha...umegundua eehhh...vimada wawili tunatoleana mapovu...

Kumbe kuwa na mume dili...
What happened to your framing nyie 'team no Free P ...'

Unawaangusha wenzio namna hiyo...
Kabla ya ku post uwe una m consult Lara 1

Wenzio 'team no free P' hawakubali kuwa kuolewa dili...

Sasa umeshaanza kuniona na mimi kimada sababu kuolewa ni dili...
Unawaangusha wenzako namna hiyo

Hahahahaaaaa..... Kuliko unavyofikiri, ungekuwa na Mume kweli ningeanza naye wakwako aaaaaargh bahati mbaya huna.
 
Back
Top Bottom