Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Ewaaaaaa ......Una miaka 23...tuombe uzima..baada ya miaka 7 njoo hapa utupe feedback ya maisha yako...
Hata kama hatakuja hapa mziki ataujua tu,anadhani wanaokuja hapa na kutafuta "mume yoyote' hawakuwa na mawazo kama yake na pengine msimamo mkali kuliko huo wake
Uhalisi ni k inyume sana na yale ambao hawa mabinti wanakuwa wanawaza na kujidanganya
Hii nimeipenda sana ....Naona unavyotabasamu unapojipa moyo kuwa ndoa ya nyumba kubwa ni ndoano...endelea kuomba kwa shetani wako labda itakuwa hivyo...ila sidhani kama ana nguvu kuliko Mungu...
Lakini hapo usingesema "sidhani' bali ungesema "nina uhakika"!