have her....she is all damn yours......
Nina amini atafanyia kazi ushauri wetu...
Kwa sasa bado ana digest, plus hasira...
Utu uzima dawa...
Sijawai kuona kimada ana amani maisha yake yote...
Ni furaha na anasa za mpito sana...
Ahsante nyumba kubwa hayo ndo mambo ya kukumbushana.Nina amini atafanyia kazi ushauri wetu...
Kwa sasa bado ana digest, plus hasira...
Utu uzima dawa...
Sijawai kuona kimada ana ate...
Ni furaha na anasa za mpito sana...
Nina amini atafanyia kazi ushauri wetu...
Kwa sasa bado ana digest, plus hasira...
Utu uzima dawa...
Sijawai kuona kimada ana amani maisha yake yote...
Ni furaha na anasa za mpito sana...
uhu hu hu huuuu umenichekesha asee..! m shabiki jina tu .......teh kwaheriniiii
HAHAHAAAAAAAAAAA! MSIKILIZE MATOLA TU! HE REALLY WISHES I WAS THAT SWEET GIRL NEXT DOOR! WELL IM NOT! Baby im sorry to disapoint you but im that WOLF and that is who i am.
Hahaha..av always been a backbencher since kg so am honoured to be placed in the back....vilaza na andunjes ndo walikuwa wanakaa mbele....mie mtoto nimepanda hewani mbele kwa nini si ntawaziba nyie vidumpa hahahahah...niko zangu nyuma toka ijumaaa na sidaiwi na mtu labda ka una lingine???🙄🙄
Kaunga jukumu la kumlinda mke/mume ni la mwenye ndoa? au la hawara?
Jibu sahihi la hilo swali litakuwa limekuondolea utata wote.
Hahahahaaaaaha, mawazo yako kila mtu ana Uhuru wakufikiri na kusema atakacho.
Sio wote wanaoenda kanisani nakusikiliza mahubiri basi watayabeba nakufanyia kazi.
Sie wengine tunaosimamia misingi tuliyojiwekea yanapita nakutokea huko kifupi hatuyumbishwi.
Pole maisha ndivyo yalivyo mana nakuona unavyotia huruma nakukazana kumuomba Mungu mumeo asiingie mikononi mwa wasiokwepesha.
20's years old ni kujitia nuksi tu katika maisha ukiendekeza njaa za kupewa pesa na kufanywa kimada.
call a spade a spade......kakupendea nini sasa.....definately not the foxy in you since you are mediocre...
HAHAHAAAAAAAAAAA! MSIKILIZE MATOLA TU! HE REALLY WISHES I WAS THAT SWEET GIRL NEXT DOOR! WELL IM NOT! Baby im sorry to disapoint you but im that WOLF and that is who i am.
Nina amini atafanyia kazi ushauri wetu...
Kwa sasa bado ana digest, plus hasira...
Utu uzima dawa...
Sijawai kuona kimada ana amani maisha yake yote...
Ni furaha na anasa za mpito sana...
Ni kweli maana hata anaekwenda kuuwa nae anawaza pia na ana huo uhuru wa kuwaza hivyoHahahahaaaaaha, mawazo yako kila mtu ana Uhuru wakufikiri na kusema atakacho.
Ningependa kuujua huo msingi wakoSio wote wanaoenda kanisani nakusikiliza mahubiri basi watayabeba nakufanyia kazi.
Sie wengine tunaosimamia misingi tuliyojiwekea yanapita nakutokea huko kifupi hatuyumbishwi.
Kimsingi mtu hujilinda mwenyewePole maisha ndivyo yalivyo mana nakuona unavyotia huruma nakukazana kumuomba Mungu mumeo asiingie mikononi mwa wasiokwepesha.
AN ENEMY OF YOUR ENEMY AUTOMATICALLY BECOMES YOUR BEST FRIENDS! We can go back to rivals as soon as thi is over but for now we are PALS! CONSIDER IT A STRATEGIC ALLIANCE! :A S wink::A S wink:
GOOD! I GUESS THIS IS A WY OF YOU SAYING THANKS FOR THE BACK SEAT! WELL GESTURE APPRECIATED! :A S wink: I guess we are done hear! HAVE FUN! Your 2 seconds of fame are SO OVER anyway!:bounce::bounce::bounce:
Ahsante nyumba kubwa hayo ndo mambo ya kukumbushana.
Una miaka 23...tuombe uzima..baada ya miaka 7 njoo hapa utupe feedback ya maisha yako...
Naona unavyotabasamu unapojipa moyo kuwa ndoa ya nyumba kubwa ni ndoano...endelea kuomba kwa shetani wako labda itakuwa hivyo...ila sidhani kama ana nguvu kuliko Mungu...
Umenena!.......
Mbona hukuniita jamani kwenye huu uzi!