MMU hot talk

MMU hot talk

Hahahaahahahaaaaaaa, nimecheka hadi hubby kashituka ikabidi nimuoneshe nayeye acheke.

Ila tu ukumbuke wakati na muda utakapofika unapita kila kanisa na kwa kila mchungaji mitume na manabii ili uombewe kupata mume ukweli ni kwamba ulishakataa mwenyewe kuwa na mume wako kwenye umri muhafaka ukarukia ndoa za wengine hapo ndio utamiini kwamba Karma is a bitch.
 
You have done well , mengine yaliyojitokeza ni makadhalika ya binadamu kujiona bora zaidi ya wengine.
Sasa hapo mtu anaona kuzini na mtu single siyo dhambi Bali kuzini na mwenye ndoa ndiyo dhambi kweli kweli.
Tupa kule mengine hata huhitaji kujibu waache na unafiki wao.

Kuzini ni dhambi, na kuiba mume/ mke wa mtu ni dhambi pia. Mkifanya uasherati mnadhuru miili yenu tu lkn mtu akiiba mke wa mwingine anamdhulumu mume wa yule mke pia.
 
Lara1 ulisema una umri wa miaka 30 eee?.....twende na practice ya bongo ladies ya kupunguza kma 2 yrz minimum..kwahiyo una miaka zaidi ya 32?..

she is infact a veteran...a really veteran indeed....
 
Labda nikuambie kitu kimoja siishi kwakutumia akili ya mtu mwingine, nafanya kile ambacho nakiona kwangu kina faida na akili yangu inanituma kukifanya.

Ninune kwakipi hasa hahahaaaaaa nafurahia jumapili yangu na watoto wa hubby sina shidaaaa.
Hahaha angelita huyo ameshakuwa hubby wako Mara hii......
Ukifanya hivyo unatuzibia nafasi ujue.....
 
Last edited by a moderator:
hahaha..eti REPUBLICANS...umesahau katika house of representatives democats are210 and republicans 234... Nota bene

who rules the us AGAIN? Anhaaaaaaaaaaaa! Thats what im talking about ENEMY!
 
Nina amini atafanyia kazi ushauri wetu...
Kwa sasa bado ana digest, plus hasira...

Utu uzima dawa...
Sijawai kuona kimada ana amani maisha yake yote...
Ni furaha na anasa za mpito sana...

Ila tu ukumbuke wakati na muda utakapofika unapita kila kanisa na kwa kila mchungaji mitume na manabii ili uombewe kupata mume ukweli ni kwamba ulishakataa mwenyewe kuwa na mume wako kwenye umri muhafaka ukarukia ndoa za wengine hapo ndio utamiini kwamba Karma is a bitch.
 
Hahaha angelita huyo ameshakuwa hubby wako Mara hii......
Ukifanya hivyo unatuzibia nafasi ujue.....

Hahahaaaaaaa! Tofauti yake WIFEY DEAREST NINI? Maana WOTE WANAZICHEZEA P KAMA KAWAIDA! HAHAHAHAAAAAA! Oooooh! MAYBE A PIECE OF PAPER IN THE CUP BOARD OF WHICH COCKROACHES ARE URINATING ON! BWAHAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!
 
Kuzini ni dhambi, na kuiba mume/ mke wa mtu ni dhambi pia. Mkifanya uasherati mnadhuru miili yenu tu lkn mtu akiiba mke wa mwingine anamdhulumu mume wa yule mke pia.
Kaunga jukumu la kumlinda mke/mume ni la mwenye ndoa? au la hawara?
Jibu sahihi la hilo swali litakuwa limekuondolea utata wote.
 
Last edited by a moderator:
Kuzini ni dhambi, na kuiba mume/ mke wa mtu ni dhambi pia. Mkifanya uasherati mnadhuru miili yenu tu lkn mtu akiiba mke wa mwingine anamdhulumu mume wa yule mke pia.


Okay I GET YOUR POINT WE SHOULD HONOR THE LORD! WELL POINT NOTED!
 
lara 1 excempted....ana piss hata kwa somersault bila kudondekewa na tone la koj*.....

HAHAHAAAAAAAAAAA! MSIKILIZE MATOLA TU! HE REALLY WISHES I WAS THAT SWEET GIRL NEXT DOOR! WELL IM NOT! Baby im sorry to disapoint you but im that WOLF and that is who i am.
 
Usinione humu niko kihasara hasara...kila siku ni sara mashetani yako kila kona...
Juzi mwanangu wa 6 years alikuwa anaongoza sara mpaka nilitabasamu anamwomba Mungu amsaidie na mdogo wake wapate 100 mitihani yote...

Nikasema yes...nimefanikiwa kuwafanya watoto wajue kimbilio lao ni nani...

Hata nikiwa mbali..lazima tusali thru skype...

yaani nimegundua hakuna ujanja mwingine zaidi ya kusurender kwa muumba. Somehow nawish mama angekuwa strict nasi kuwa mtu wa ibada kama alivyo yeye.
Mimi alinifurahisha siku moja of récent ananipigia simu (ya mwalimu) ili nimtajie mafungu ya rosari aandike maana amepoteza chuo kidogo cha sala, nikafurahi sana kuwa pamoja na kwamba yuko shule ya waislam lkn anakumbuka ni mwezi wa rosary huu. Yaani siishi kumshukuru na kumuomba Mungu.
 
Hahaha dah! Ukiongea na watu unajua mengi sana.... Maajabu hayaishi jf!
Hivi huwa mimi na wewe si tunapingana sana?

AN ENEMY OF YOUR ENEMY AUTOMATICALLY BECOMES YOUR BEST FRIENDS! We can go back to rivals as soon as thi is over but for now we are PALS! CONSIDER IT A STRATEGIC ALLIANCE! :A S wink::A S wink:
 
Back
Top Bottom