Hata wewe mzee wa Hungumalwa?
Lizzy upo mazee?Mbona kimyaa?
mchakachuaji!mkuu, unajua jukwaa la siasa ni utata mtupu, yaani bora uku tunakutana na mawazo mapya.
Mbona mie sikukuona AshaDii?Au uzee unaninyemelea?
Muongeze na Bebii Hajawahi Kukosekana tangu alipojiunga.[/QUOTE]
Bebii na Canta.....hao ni never miss,kwa hiyo list ieditiwe ili kuwaongeza
Aah mkuu, add to the original list Mr. Rocky.(Off topic:Vipi lile gulio maarufu pale Hungumalwa huwa bado lipo?)