Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

IMG00280-20110514-1802.jpg IMG00273-20110514-1748.jpg IMG00278-20110514-1749.jpg IMG00274-20110514-1748.jpg IMG00270-20110514-1747.jpg IMG00282-20110514-1813.jpg IMG00280-20110514-1802.jpg IMG00283-20110514-1814.jpg IMG00275-20110514-1748.jpg IMG00284-20110514-1815.jpg ni ajali mbaya sana kwa mujibu wa walioshuhudia ni uzembe wa muendesha gari ndogo aliyekuwa akiongea na simu huku aki drive gari yake wameshatolewa watu watatu waliokuwa wamebanwa na kontena hiyo mwenyezi mungu awarehemu
 
Nayaogopa sana haya madude, hata kupishana nalo ni ishu, likiwa linakuja nyuma yako ndo kabisaa mana hata break haziaminiki, unawejikuja wewe ndo break yake hiv hiv, inasikitisha sana kwa kweli.

R.I.P
 
RIP. Majeruhi tayari wameshapelekwa hospitali. Nilizungumza na Kamanda wa Polisi Kinondoni mara baada ya ajali kuomba wapeleke kwa haraka magari ya kuinulia vitu vizito. Tayari Crane imefika eneo la tukio na container husika linaondolewa. Taarifa zaidi badaaye
Pole kwa niaba ya wapiga kura wako. May their souls R.I.P
 
Ukiwa bongo na una chenji kidogo bora upande ndege hakyanani. Haya malori makubwa nna uhakika over 95 % ni mabovu au yanaendeshwa na wavuta bange. Na chance ya kuchinjwa au kuangukiwa nayo ni kubwa sana.
 
RIP, poleni wafiwa.

Mimi ningeshauri organisations kama hii ya Legal Human Rights wangesaidia familia za waliopoteza maisha kufungua keshi dhidi ya @)mmiliki/wamiliki wa magari hayo ya mankotena, and b) Idara husika na utoaji wa vibali pamoja na wanausalama. Nasema hivi kwa sababu mara nyingi tumeona makontena haya yanakiuka taratibu za usalama. Sasa unless wakubwa hawa wawajibishwe tutazikana kila leo.

Again, RIP na Poleni wafiwa.

Nakubaliana na wewe mkuu! Bila ya kuwawajibisha kisheria siku zote itakuwa ni ajali tu wakati maisha ya watu yanapotea.
 
tunawaombea wote waliofikwa na msiba, Mungu awape nguvu na rehema.
Chanzo ni daladala coaster iliingia road ghafla, mwenye roli alikuwa anaikwepa daladal iloingia road ghafla, trailer liliyumba na kuipiga pass noah wakati wa jitihada hizo ''swivel pin'' ya loli ilikatika na kichwa kikaendelea na safari kwa ''20metres'' hivi, trailer lenye 40FC ilikosa ''control'' na kuelekea kushoto ikagonga mwamba na kupinduka upande ikawalali watu 3. nadhani kweli dereva wa noah hakuwa makini na mwendo kasi wa mwenye loli.

Kifo kikitokea sisi tuliohai inatukumbusha kufanya mema.TUANZE NA SIMU CHINI USUKANI MKONONI AU SIMU MKONONI ENGINE OFF AN GARI PEMBENI.
 
tunawaombea wote waliofikwa na msiba, Mungu awape nguvu na rehema.
Chanzo ni daladala coaster iliingia road ghafla, mwenye roli alikuwa anaikwepa daladal iloingia road ghafla, trailer liliyumba na kuipiga pass noah wakati wa jitihada hizo ''swivel pin'' ya loli ilikatika na kichwa kikaendelea na safari kwa ''20metres'' hivi, trailer lenye 40FC ilikosa ''control'' na kuelekea kushoto ikagonga mwamba na kupinduka upande ikawalali watu 3. nadhani kweli dereva wa noah hakuwa makini na mwendo kasi wa mwenye loli.

Kifo kikitokea sisi tuliohai inatukumbusha kufanya mema.TUANZE NA SIMU CHINI USUKANI MKONONI AU SIMU MKONONI ENGINE OFF AN GARI PEMBENI.

Inasikitisha sana, katika suala la simu na uendeshaji ni tatizo la wengi. Kuna siku nilichoka zaidi kumwona dada mmoja ana endesha huku anajiremba mdomo wake sijui kwa vitu gani vile wanavijua wao. Pia naona madreva wengi wa kiume husoma magazeti huku wakiendesha, wajameni.
 
duh MUNGU atuhurumie sie waja wake. kweli we are walking with death. tuache dhambi ili tuwe na uhakika wa maisha ya milele. hakuna ijara wala shauri kuzimu tuendako.
 
RIP. Majeruhi tayari wameshapelekwa hospitali. Nilizungumza na Kamanda wa Polisi Kinondoni mara baada ya ajali kuomba wapeleke kwa haraka magari ya kuinulia vitu vizito. Tayari Crane imefika eneo la tukio na container husika linaondolewa. Taarifa zaidi badaaye

tunashukuru kwa jitìhada zako mh.mbunge wetu.
 
Ahhh!! Tanzania yetu jamani. Yaani mimi ningekuwa ndio mkuu wa kitengo cha Traffic hapo DAR ningejiuzulu. Sielewi hawa jamaa wanaishi vipi, haswa pale unapoona watu wakifa kila siku, hali ya kwamba hizi ajali zineweza kuepukika. Just imagine the human cost zinazosababishwa na hizi ajali kwa uchumi wa nchi (Gross National Product) na kwa familia za majeruhi na wafiwa kwa ujumla.
La kufanya:
-Strict enforcement of speed limits (75% ya ajali zinasababishwa na speed za magari)
-Heavy penalty should be imposed to those who cross speed limit (ikiwezekana kuwanyang'anya leseni zao, haswa kwa wale watakaosababisha ajali)
-Driving test ya uhakika ifanyike ili kuhakikisha kwamba ni wale tu wanaopasi mtihani ndio wanopewa leseni ya kuendesha magari
-New Law should be introduced so that the person who caused the accident aweze kushitakiwa ili awalipe wote waliodhurika na kwenye hiyo accident
-Radio, Tv, and other media should be used for public safety awareness
-Hili eneo la Kimara Resort, ambalo limekuwa prone for accident likabidhiwe kwa wahandisi wetu ili walifanyiekazi kiscience.
-Mahakama zetu zihusishwe ili kuhakikisha kwamba sheria zinafuatwa, na wanaohusika wanaadhibiwa ipasavyo.
-Ikibidi, basi matuta yaongezwe ili kupunguza kasi za magari na ili kunusuru maisha ya binadamu
-Obstruction on the road side caused by unauthorized parking/ constructions should be abolished
-Front and back of the lorries and Trucks should be painted bright yellow colour to increase visibility
*Lakini mwisho wa yote ni accountability na kupiga vita rushwa. Bila hivi vitu viwili kufanyika, sidhani kwamba kuna chochote kitaweza kubadilika.
Pole sana wafiwa.
 
Tatizo kubwa na sababu ya pekee mh.mbunge wangu nisikilize,mara nyingi uozo upo kwenye ICD zetu,unakuta trailer na magari ya mizigo yasiyokuwa na hadhi ya kubeba mizigo yanakaa nje ya ICD izo na kuvizia makontena na kupewa kazi kinyemela. Najua ndani ya ICD wanagoma kuingiza trailor zisizo na container locks,pia nyingine ujipenyeza ndani kirushwa rushwa, upande wa pili,nenda nje ujionee malori yanayovizia dili. Ndugu mnyika,gari za muundo huo zisizo na container locks uangusha kontena pindi zikutanapo na kona au mteremko mkali. Mh.mbunge,jaribu kupita hata pale Tabata relini kwenye ICD iliyopo pale uone uhuni huo na jinsi ajali za makontena zitakuwa endelevu mpaka mkemee tatizo ilo. 4more info nitafute nieleze zaidi gsana6@gmail.com
 
Back
Top Bottom