amina mkuu..mungu awajalie waweze kupona
Pamoja na kuwapa pole wale wote waliojeruhiwa ukweli ni kuwa magari ya hii kampuni ya Mohamed Trans yameuwa watanzania wengi sana tangu hii kampuni ianzishwe. Japo ajali ni ajali nashauri anayeweza kujiepusha asipande haya magari na afanye hivyo maana ni magari ya hatari sana kwa maisha yetu
Lilikuwa likitoka Musoma kuelekea DSMkumeanza tena......jamani.......lilikuwa linatoka wapi kwenda wapi mkuu?
Mungu awalaze mahali pema peponi marehemu wote...
na majeruhi wajaliwe kupona haraka.
hivi hizi ajali mpaka lini?