Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,723
Jamani mjue yale mananiliu ya pale mwembechai hayakutoshea pale magogoni!?yapo kitaa ndo mana ajali hazipungui
hamjakosea. Yalikuwa mabasi mawili. Lililopata ajali lilikuwa likiwahi vichwa relini wakati mwenzake aliwahi hapo gereji
Madereva hawa watatumaliza
Hakuna aliyefariki isispokuwa dereva ameumia vibaya. kulikuwa na abiria wawili tu kwenye daladala, alikuwa akiwawahi wengine pale reliniMuda wa dk 20 zilizopita imetokea ajali barabara ya mandela eneo la gereji ambapo costa ya gmboto imeigonga gari ndogo penye kizuizi cha barabara na kutumbukia mtaroni. Inasadikika wamefariki abiria watatu hivi. Mi nilikuwa napita tu
Hakuna aliyefariki isispokuwa dereva ameumia vibaya. kulikuwa na abiria wawili tu kwenye daladala, alikuwa akiwawahi wengine pale relini
Ni kituo cha daladala katika barabara ya Mandela, kama unatokea ubungo kipo kabla ya kufika Relini...Poleni na ajali, Gereji ndo wapi tena wakuu!
Poleni na ajali, Gereji ndo wapi tena wakuu!