Original Pastor
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 1,274
- 52
LG asante kwa taarifa
Naishi maeneo haya na sijaisikia ajali hiyo hata baada ya kuwapigia simu watu kadhaa;
Could it be Segera instead of segerea?
Ni SEGERA, Tanga. TBC wamesema ajali ya Hiace na lori imeua watu wote waliokuwa kwenye Hiace baada ya gari hilo kuungua moto. Wamesema watatuletea habari zaidi kadri wanavyozipata.
Ni SEGERA, Tanga. TBC wamesema ajali ya Hiace na lori imeua watu wote waliokuwa kwenye Hiace baada ya gari hilo kuungua moto. Wamesema watatuletea habari zaidi kadri wanavyozipata.
Thanks kwa taarifa. Majeruhi au vifo? Hope breakdown zinafanya faster kuclrear eneo la ajali.AJALI imetokea sasa h ivi hapa buguruni na kuhusisha magari matatu yaliyogongana kwa nyuma, kama kuna wadau wanaotumia njia hii wabadilishe kwani kwa muda huu kutakua na foleni kubwa! Siku njema kwenu
Jamani ajali mbaya sana imetokea nje ya zhonghua garden mida hii.yaani gari 5 zimegongana kwa mpigo na karibu watu 3 wamepoteza maisha..ni habari ya kuhuzunisha sana..