Mliyodhihaki mabehewa mapya TRC ombeni radhi!

Mliyodhihaki mabehewa mapya TRC ombeni radhi!

Nilichomuelewa [mention]Paschal mayalla [/mention] na Kipanya, wao walichohitaji ni viongozi waeleze ukweli maana kwenye ule mkataba ukiusoma unaona wazi kabisa nini walisaini, sasa nahisi viongozi wanaishi dunia ya peke yao wakati leo nikienda nchi yoyote waliyosaini chochote nikaibua hoja ya rushwa nchi au kampuni ile wanakupa mikataba husika tena hnaidemand mahakamani kabisa huko huko kwao, kwahiyo viongozi wakiwa wakweli hakuna tatizo, haya TRC wao ndio walipost kichwa cha treni mchongoko na wao haohao wamekana kua hakuna kitu kama hicho, wajue na wafahamu tutafikia hatua ya kwenda kote walikosaini mikataba tuibue hoja za rushwa ili tuwaumbue zaidi, wanatakiwa wawe wakweli tusifike kuwavua nguo mchana kweupe
 
Haya january february mimi nahitaji tupate hoja za hiyo inayoitwa mikopo ya masharti nafuu tujue kilichomo ni nini ndio mtajua viongozi wetu wanahisi wanaongoza watoto wadogo wakati wanaongoza wakubwa wenzao na si ajabu kiakili wanaoongozwa wamewashinda
 
Tatizo sio mabehewa ya zamani ila ni vile wahusika walivyojigamba na kuonyesha picha za hiyo Train itakavyokuwa tofauti na Muonekano halisi, hii nailinganisha na zile picha za Ubungo flyover picha zilizokuwa zinaonyeshwa ni Interchange ya nguvu.
 
Watanzania ni wapole sana.

Wao mavx yao ni 0km na zikifika kadhaa linahesabika limechoka, lijapigwa mnada inaletwa kitu piru nyingine.
 
Tatizo sio mabehewa ya zamani ila ni vile wahusika walivyojigamba na kuonyesha picha za hiyo Train itakavyokuwa tofauti na Muonekano halisi, hii nailinganisha na zile picha za Ubungo flyover picha zilizokuwa zinaonyeshwa ni Interchange ya nguvu.
Umesahau walivyokuwa wanaupamba mradi wa mabasi yaendayo kasi "Mwendokasi".
Kutoka Mwendokasi na kuwa Mwendo wa haraka...siasa zitatumaliza.
 
Tatizo sio mabehewa ya zamani ila ni vile wahusika walivyojigamba na kuonyesha picha za hiyo Train itakavyokuwa tofauti na Muonekano halisi, hii nailinganisha na zile picha za Ubungo flyover picha zilizokuwa zinaonyeshwa ni Interchange ya nguvu.
Walitumia picha labda ilikuwa kipindi cha kampein
 
Sasa hayo mabehewa Yana tofauti gani na yale mabasi ya zamani ya UDA!?...au kwa sababu yamepigwa rangi kwa kutumia compressor na kupachikwa viti vya YUTONG ?!...nadiriki kusema hayo mabehewa hayajafikia ata ubora wa zile Steam Trains walizokua wanatumia wakoloni wetu wakati wanatutawala
Wadau mnapiga spana aisee 😂
 
Tuambiwe tuu ukweli, Watanzania hatuna tatizo kabisa na kutumia mitumba, tumezoea!. Watu Bongo wanavaa nguo za mitumba na wengine hata naniliu za mitumba!, itakuwa mabehewa!. Sisi wengine hatulalamiki bali tunataka....
Umekataa kuzeeka kabisa?...hawa wazee wa kizazi kipya kazi kweli kweli...
 
Ni ustaarabu kuomba radhi pale tunapokosea, lakini pia ni uungwana kuomba radhi pale tunapokosea wenzetu!

Tuliaminishwa humu kwamba mabehewa yanayopokelewa bandarini Dar es Salaam, ni ya zamani na pia siyo kutoka Korea kama tulivyokuwa tumeahidiwa na serikali ya JMT.

Tulikuwa tunataka kuonyeshwa ubovu mwingine wa JPM na wenye malengo yao!

Sasa tumeona "Uhalisia"ni tofauti na "Uzushi".

View attachment 2428630View attachment 2428631View attachment 2428632View attachment 2428633View attachment 2428634View attachment 2428635View attachment 2428636View attachment 2428637
Cha maana hapo mpaka watu waombe radhi ni kipi?
 
Mabehewa yenye muundo wa kizamani yatumike kwenye reli mpya ya kisasa?🙄Kwa gharama hizo za kujenga TZ_SGR na vituo vya kisasa na umeme juu, tungeiboresha ile meter gauge yetu na kukarabati vituo vyake na zile njia za mawasiliano-bado tungezifikia nchi za maziwa makuu.

Ushauri:
TRC, reli mliyojenga ni ya kisasa sana kuweka treni na mabehewa ya kizamani, agizeni vitu vya maana kwa pesa zetu, Sisi pia tunastahili vitu vizuri na wakati ni sasa.

Hayo mabehewa mnayodai kuwa mapya yapelekeni Morogoro karakana yakavishwe kwenye excel za meter gauge kisha yatumike Dar es salaam kwenye ile treni ya Mwakyembe.
 
Back
Top Bottom