Mliyodhihaki mabehewa mapya TRC ombeni radhi!

Mliyodhihaki mabehewa mapya TRC ombeni radhi!


Ni ustaarabu kuomba radhi pale tunapokosea, lakini pia ni uungwana kuomba radhi pale tunapokosea wenzetu!

Tuliaminishwa humu kwamba mabehewa yanayopokelewa bandarini Dar es Salaam, ni ya zamani na pia siyo kutoka Korea kama tulivyokuwa tumeahidiwa na serikali ya JMT.

Tulikuwa tunataka kuonyeshwa ubovu mwingine wa JPM na wenye malengo yao!

Sasa tumeona "Uhalisia"ni tofauti na "Uzushi".

View attachment 2428630View attachment 2428631View attachment 2428632View attachment 2428633View attachment 2428634View attachment 2428635View attachment 2428636View attachment 2428637

 
Back
Top Bottom