RedDevil
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 2,367
- 1,520
Hii nchi inamikasa hii jamaani!! National Grid siyo kitu kidogo, wahujumu uchumi wote mara nyingi midomo inamezea mate hiyo kitu itokee ili wale kiulaini. Sasa hii katika katika ya mara kwa mara watu hatuoni wakiwajibishwa ndo nini. Ndiyo maana katiba mpya itapunguza watu ujasiri wa kuwa na dharau kwenye vitu vyenye manufaa kwa taifa zima kama hili la umeme. Hizi ni dharau, hebu fikiria watu wangapi wanaweza kupoteza maisha, au kiasi gani cha pesa kinapotea kwa ajili ya kukosekana umeme watu/viongozi kimyaa wala hakuna hata kusema chochote?
Mapinduzi yanahitajika, siyo kwa hawa madingi ni sisi vijana kuamua na kuwaomba wakae pembeni wasubiri kushauri tu hawataki wanalazimishwa.
Mapinduzi yanahitajika, siyo kwa hawa madingi ni sisi vijana kuamua na kuwaomba wakae pembeni wasubiri kushauri tu hawataki wanalazimishwa.